Mijadala Migumu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 380
- 422
Npo hap kiangaikonWe nani kwakwambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Npo hap kiangaikonWe nani kwakwambia
We alokwambia nani mbona m sijasikiaNpo hap kiangaikon
We alokwambia nani mbona m sijasikia
Mbona usahili ushaanza jana? Nani hajui hili?Bogi la orjoro hivi lipo kweli? Maana wa vikosin usahili jtat hapa kiangaikon
We umekuja na bogi gan kakBogi la orjoro hivi lipo kweli? Maana wa vikosin usahili jtat hapa kiangaikon
Acha chuo mzee, dploma na degree hawatakiw jeshn vipi brigedia hajakwambiaNaomba msaada wadau:
Niko 2nd year, mwakani nategemea kumaliza chuo. Wadau wengi ikiwemo wanangu waliopo jw na bms wananipanga ni-postpone chuo ili nikapige kozi alaf nitakuja kuomba kuendelea na masomo nikishakua poti.
ILA mbanga langu (Brigedia) rafiki wa karibu sana na mzee, ananipanga nimalize chuo kwanza akisema "Huku kuna mambo mengi." angalikuwa nafasi hizi sio constant na zinakwenda na umri.
Naombeni mchango wenu wa mawazo wakuu.
Chuo mambo mengi Sana..huku ni ajira. Anyway tupe lonja ya brigedia anasemaje huko mkuu ni uhakika intake ina watu nyomi au ni skendo tuNaomba msaada wadau:
Niko 2nd year, mwakani nategemea kumaliza chuo. Wadau wengi ikiwemo wanangu waliopo jw na bms wananipanga ni-postpone chuo ili nikapige kozi alaf nitakuja kuomba kuendelea na masomo nikishakua poti.
ILA mbanga langu (Brigedia) rafiki wa karibu sana na mzee, ananipanga nimalize chuo kwanza akisema "Huku kuna mambo mengi." angalikuwa nafasi hizi sio constant na zinakwenda na umri.
Naombeni mchango wenu wa mawazo wakuu.
Wasomi wanahitajika, tena sana tu. Na wapo wanaosomeshwa na jeshi kozi tofautitofauti kulingana na matakwa ya jeshi. Mwanangu mmoja alipiga EGM ila saivi anasomea electric engineering 🇷🇺,n.kAcha chuo mzee, dploma na degree hawatakiw jeshn vipi brigedia hajakwambia
Ila inasikitish sana jeshi wanataka liwe la kisasa ila hawawataki wasomi
Jamaa majibu yake yako kwa pande mbili ila kwa sababu hiyo hiyo moja ambayo ni uchaguzi.Chuo mambo mengi Sana..huku ni ajira. Anyway tupe lonja ya brigedia anasemaje huko mkuu ni uhakika intake ina watu nyomi au ni skendo tu
Nataka nikumeri, nitumie picha yako pm niwaoneshe wakwe zako mkwe wao 🙂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeee
Huyo mbanga Ana kuwekea ukuta unaweza maliza chuo aseme ungenicheki wakati ule ...dogo langu Alikuwa chuo mwaka wa mwisho nafasi ikaja ya maelekezo nika mwambia dogo piga chini chuo utakuja soma mbele heri uwe Private Kwa muda Hali. Mwisho wa mwez nmb inacheka kuliko kuwa jobless in short dogo Yuko kwenye chombo chuo Aliacha kabla hapo akisaka bakabaka akiwa mujibu Afande Moja aliweka ukuta sana siasa hizo nenda chuo utarudiNaomba msaada wadau:
Niko 2nd year, mwakani nategemea kumaliza chuo. Wadau wengi ikiwemo wanangu waliopo jw na bms wananipanga ni-postpone chuo ili nikapige kozi alaf nitakuja kuomba kuendelea na masomo nikishakua poti.
ILA mbanga langu (Brigedia) rafiki wa karibu sana na mzee, ananipanga nimalize chuo kwanza akisema "Huku kuna mambo mengi." angalikuwa nafasi hizi sio constant na zinakwenda na umri.
Naombeni mchango wenu wa mawazo wakuu.
wanajificha kwenye maua ya alizeti ama? maana camo yao siielewiHiki kinaitwa KVZ..
Kikosi cha Valantia Zanzibar
Kama hukuelewa ungeuliza kwanza, lamomy alimuambia mwachiluwi kuwa ngerengere ndio panamfaa, mwachiluwi akauliza ndio wapi huko ni oljoro au, mimi ndio nikamjibu mwachiluwi kwamba hiyo ni kambi ya makomando morogoro, nikiwa na maana ngerengere na siyo oljoro kama alivoulizamadam oljoro iko wapi?
Sawa madam nimekupata🔥✊️Kama hukuelewa ungeuliza kwanza, lamomy alimuambia mwachiluwi kuwa ngerengere ndio panamfaa, mwachiluwi akauliza ndio wapi huko ni oljoro au, mimi ndio nikamjibu mwachiluwi kwamba hiyo ni kambi ya makomando morogoro, nikiwa na maana ngerengere na siyo oljoro kama alivouliza
Hatujaona mkuuNimeahidi na nimetekeleza
Kama nilivyosema Leo saa 10 nitapandisha taarifa za ndani kabisa na za uhakika
Sasa nafuta maana ni taarifa nyeti hizo nilizowapa kwa ambao hamjapata mtauliza kwa waliokuwa online