Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Nimeahidi na nimetekeleza
Kama nilivyosema Leo saa 10 nitapandisha taarifa za ndani kabisa na za uhakika

Sasa nafuta maana ni taarifa nyeti hizo nilizowapa kwa ambao hamjapata mtauliza kwa waliokuwa online
Mkuu jau wewe ebu tuma ya mwisho tulipitiwa🤣
 
Nimeahidi na nimetekeleza
Kama nilivyosema Leo saa 10 nitapandisha taarifa za ndani kabisa na za uhakika

Sasa nafuta maana ni taarifa nyeti hizo nilizowapa kwa ambao hamjapata mtauliza kwa waliokuwa online
Sio kweli hujatuma kitu
 
Kwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia

Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi

Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
 
Kwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia

Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi

Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
Cha mtema Kuniii??? Kipi hiko
 
Kwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia

Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi

Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
Sawa bhn unajikuta Millard ayo wakati we mange kimambi tu

Shame on you🚮
 
Kwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia

Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi

Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
Acha ushamba mkuu huo ni ushamba kama unataka kusaidia watu weka maneno hapo sio kujifanya special kwamba unataka upate attention ya watu
 
Kwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia

Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi

Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
Kuna watu watapigwa ela apa 😂😂
 
Unatoa taarifa Kama ww n cdf ebu acheni izo pigo tusubilini maelekezo tuu🏃🏃
 
Kwa msio na Mbanga kabisa kunanjia moja ya kuzama chomboni japo ni risk lkn ni salama pia

Kikubwa ni ujasiri tu hii mbinu nilipewa na jamaa wa ikuru na imewasaidia watu wawili japo mmoja alipata cha mtema kumi

Mbinu hiyo nitaiweka hapa saa moja au saa mbili
Saa moja ndo hii tupe updates au tusubiri saa 2
 
Back
Top Bottom