Mijadala Migumu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 380
- 422
Daaaah hapo kozi Msata tuu mambo ya oljoro tuyasahauWatu 3000 tu. Wakizidi 3500 hawafiki 4000 mzee. Na vikosin bado wanachukuliwa mpaka leo
Kwq nn usitemwe? Unadhan jeshi lipo ili kila mtu afurahi?Duh mm nilitemwa 2022 military science na hili nitemwe kweli
Ww umepita nn mbona unatamba sana kakaKwq nn usitemwe? Unadhan jeshi lipo ili kila mtu afura
Hawa wafanya usafi?Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya kihangaiko ya mvua ni balaa wazee. Jiandaeni kisaikolojia. Sijawahi kupiga hiyo, ila atleast kwa mazingira flani nimewahi kuona.
Sijapita mkuu ila kutamba mm ndo tabia yangu ya asiliWw umepita nn mbona unatamba sana kaka
Hahaha nakubali mkuuSijapita mkuu ila kutamba mm ndo tabia yangu ya asili
ππππππSijapita mkuu ila kutamba mm ndo tabia yangu ya asili
Usilie sasaDaaaah hapo kozi Msata tuu mambo ya oljoro tuyasahau
Mkuu tafuta inshu nyingine jeshi n la wachache na ww co mchacheDuh mm nilitemwa 2022 military science na hili nitemwe kweli
Na mm mbona ni mchache mkuu hahahahhahhMkuu tafuta inshu nyingine jeshi n la wachache na ww co mchache
Ndio oljoro waliongezaSinilisikia maanga yameongezwa au
BadoHivi JKT wamesha tangaza nafasi za kuandikishwa wa kujitolea
Unataka kujila jkt sio kigezo cha kupata ajila, labda kama una lengo lingineHivi JKT wamesha tangaza nafasi za kuandikishwa wa kujitolea