Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mwenye lonja nimekuja,mbuyu wangu leo ulikua kihangaiko ukanipa taarifa zifuatazo 1.Kama unajijua ulimlza four chin ya 2019 lazima uwe na affidavity ya jina,yaan kwamba walomalza chini ya 2019 katk vyeti vyao vya kidato Cha nne kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani 2.Namnukuu "huku bhana watu 350 inabidi watolewe kwa vipengele mbalimabli" Nukuu ya pili " Yaan sas hiv kila sehemu wamebana Kuna baadhi ya watoto wa wakubwa hawajasomwa yaan" Nukuu ya 3 " sa hivi janja janja hamna watu wanalia tu huku usaili mgumu wanarudishwa*
 
Mwenye lonja nimekuja,mbuyu wangu leo ulikua kihangaiko ukanipa taarifa zifuatazo 1.Kama unajijua ulimlza four chin ya 2019 lazima uwe na affidavity ya jina,yaan kwamba walomalza chini ya 2019 katk vyeti vyao vya kidato Cha nne kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani 2.Namnukuu "huku bhana watu 350 inabidi watolewe kwa vipengele mbalimabli" Nukuu ya pili " Yaan sas hiv kila sehemu wamebana Kuna baadhi ya watoto wa wakubwa hawajasomwa yaan" Nukuu ya 3 " sa hivi janja janja hamna watu wanalia tu huku usaili mgumu wanarudishwa*
kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani.. mkuu hapo hatuja kuelewa kabisa!!!!
 
Mwenye lonja nimekuja,mbuyu wangu leo ulikua kihangaiko ukanipa taarifa zifuatazo 1.Kama unajijua ulimlza four chin ya 2019 lazima uwe na affidavity ya jina,yaan kwamba walomalza chini ya 2019 katk vyeti vyao vya kidato Cha nne kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani 2.Namnukuu "huku bhana watu 350 inabidi watolewe kwa vipengele mbalimabli" Nukuu ya pili " Yaan sas hiv kila sehemu wamebana Kuna baadhi ya watoto wa wakubwa hawajasomwa yaan" Nukuu ya 3 " sa hivi janja janja hamna watu wanalia tu huku usaili mgumu wanarudishwa*
Halafu na hyo watu 350 kutolewa kwa vipengele una maanisha yaan huko kihangaiko kwamba watu 350 wanatakiwa wa temwe au?
 
Yaan kwa ufupi Kama huna mbuyu,huna hela za hapa na pale za kumpooza huyo mbuyu wako mzee hutoboi,kma unasubr mpka mbuyu ukuombe hela hujiongez mwenyew kumtumia vihela vya maji nini vocha vihela vya mafuta ya gar nini aah mzee hutoboi
 
Mwenye lonja nimekuja,mbuyu wangu leo ulikua kihangaiko ukanipa taarifa zifuatazo 1.Kama unajijua ulimlza four chin ya 2019 lazima uwe na affidavity ya jina,yaan kwamba walomalza chini ya 2019 katk vyeti vyao vya kidato Cha nne kimeandkiwa ex RASHID J HASSAN,sasa lazima uwe na affidavity ya hiyo J ndo nani 2.Namnukuu "huku bhana watu 350 inabidi watolewe kwa vipengele mbalimabli" Nukuu ya pili " Yaan sas hiv kila sehemu wamebana Kuna baadhi ya watoto wa wakubwa hawajasomwa yaan" Nukuu ya 3 " sa hivi janja janja hamna watu wanalia tu huku usaili mgumu wanarudishwa*
Mibanga ya zanzbar bado au?
 
Back
Top Bottom