Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Wiki ya pili hii ya mkesha na vijana wengine wameshaaza kutoka nduki na matranka yao.vijana kazi ya jeshi inahitaji ujikane nafsi
Watu wanazitafuta izo nafas kwa udi na uvumba alaf mtu anakimbia anaacha chance hivihivi!!….yani kuvumilia tu uo mpelampela kwa miez6 mtu nayo inamshinda aisee
 
Vijana kaaeni tayari bog la orjolo lipo in this week watu wanaanza kuripot
 
Sema kweli
Au sio ko unaijua ruti ya emba kasi, pale uwanja wa kitundu mti wa shetani farming kote uko umepiga ruti

Utamu wa uwanja wa damu

Unapajua TMA vizuri na utamu wake

Usilete habari za kupotosha umu.
 
Hahahah kwahyo jamaa kajiamulia zake tu aje kudanganya watafutaji humu!😄
Au sio ko unaijua ruti ya emba kasi, pale uwanja wa kitundu mti wa shetani farming kote uko umepiga ruti

Utamu wa uwanja wa damu

Unapajua TMA vizuri na utamu wake

Usilete habari za kupotosha umu.
h
 
😀😀😀😀😀😀😀
 
Vijana wa humu kwa lonja nilionayo ni kwamba kunauwezekano wa kuwepo kwa bogi la orjolo….vijana endeleeni kuongeza maombi huko…wale mlioomba maombi huu ndo wakati wenu mtaitwaa.
 
Vijana wa humu kwa lonja nilionayo ni kwamba kunauwezekano wa kuwepo kwa bogi la orjolo….vijana endeleeni kuongeza maombi huko…wale mlioomba maombi huu ndo wakati wenu mtaitwaa.
😂😂😂hii ni maajaBu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…