southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
huyu bwana atueleweshe vizurikozi bado haijaanza ila usaili tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu bwana atueleweshe vizurikozi bado haijaanza ila usaili tayari
hakuna taarifa za makambini na shughuli zake zinavyo enda .utegemee kuambiwa na watu wanao zunguka uku.huyu bwana atueleweshe vizuri
Wiki ya pili hii ya mkesha na vijana wengine wameshaaza kutoka nduki na matranka yao.vijana kazi ya jeshi inahitaji ujikane nafsikozi bado haijaanza ila usaili tayari
kwan walianza liniWiki ya pili hii ya mkesha na vijana wengine wameshaaza kutoka nduki na matranka yao.vijana kazi ya jeshi inahitaji ujikane nafsi
Hatari sana hiiWiki ya pili hii ya mkesha na vijana wengine wameshaaza kutoka nduki na matranka yao.vijana kazi ya jeshi inahitaji ujikane nafsi
Watu wanazitafuta izo nafas kwa udi na uvumba alaf mtu anakimbia anaacha chance hivihivi!!….yani kuvumilia tu uo mpelampela kwa miez6 mtu nayo inamshinda aiseeWiki ya pili hii ya mkesha na vijana wengine wameshaaza kutoka nduki na matranka yao.vijana kazi ya jeshi inahitaji ujikane nafsi
Ni special au?Vijana kaaeni tayari bog la orjolo lipo in this week watu wanaanza kuripot
Ni mchanganyiko yaani chips vurugaNi special au?
Kuna mdogo wangu yupo orjolo hizi ronja zitakuja kuua raia wapo madogo wa kujitolea wanaendelea na kozi,Vijana kaaeni tayari bog la orjolo lipo in this week watu wanaanza kuripot
Sema kweliKuna mdogo wangu yupo orjolo hizi ronja zitakuja kuua raia wapo madogo wa kujitolea wanaendelea na kozi,
Mtu anaropoka ata orjolo hapajui
Au sio ko unaijua ruti ya emba kasi, pale uwanja wa kitundu mti wa shetani farming kote uko umepiga rutiSema kweli
hAu sio ko unaijua ruti ya emba kasi, pale uwanja wa kitundu mti wa shetani farming kote uko umepiga ruti
Utamu wa uwanja wa damu
Unapajua TMA vizuri na utamu wake
Usilete habari za kupotosha umu.
AhahahHahahah kwahyo jamaa kajiamulia zake tu aje kudanganya watafutaji humu!😄
h
😀😀😀😀😀😀😀Huu Uzi naupitaga tu. Leo nimeusoma.
Huyo unayesema anaropoka hata orjolo hapajui unamfahamu? 😂😂
Aliyekuquote hapa alikua team ya PT wavuvi haramu (RTS) 😊😊 intake ya 41 ilifanyika pale kukiwa na Vijana wa kujitolea Op mbili pamoja na Vijana wa Mujibu wa Sheria wakiwa na ratiba zao.
Nitafuta
Hlo bog la op mabeyo au na op miaka 60Vijana kaaeni tayari bog la orjolo lipo in this week watu wanaanza kuripot
Huyu jamaa asipuuzwee, anakitu…..na nafikiri huyu jamaa yupo chomboni huyuVijana kaaeni tayari bog la orjolo lipo in this week watu wanaanza kuripot
😂😂😂hii ni maajaBu...Vijana wa humu kwa lonja nilionayo ni kwamba kunauwezekano wa kuwepo kwa bogi la orjolo….vijana endeleeni kuongeza maombi huko…wale mlioomba maombi huu ndo wakati wenu mtaitwaa.