πππhii ni maajaBu...
πππhii ni maajaBu...
Ila haijajulikana ni lini mkuu Jax66 ?Kuna jamaa nimemskia kwa maskio yangu akiongea na mbanga wake kanali na akamwambia kua kuna uwezekano wa kuwepo kwa bogi la orjolo hivyo ameambiwa atulie asubir
Hata mimi nimesikia hii.. Ila Jeshi mabadiliko ni mda wowote.. Tuombe MunguNdio mkuu, jamaa hajaambiwa ni lin bt kaambiwa atulie asubirβ¦.means anafanyiwa mipango
Hata mimi nimesikia hii.. Ila Jeshi mabadiliko ni mda wowote.. Tuombe Mungu
Sahihi Kabisa mkuuKweli mkuu mabadiliko ni muda wowoteβ¦.vijana waongeze maombi na ni vzr kutafuta mbanga
Ndoivo mkuuSahihi Kabisa mkuu
Sahihi Kabisa mkuu
Itakuwa mkuu... Soma comment #3657 kuna mdau Fake P Kamuelezea nadhani anamfahamuUyo jamaa anaejiita mwachiluwi nahisi labda itakua ni mjeda maana alivyoleta taarifa humu mm nikahisi masihara bt na mm nilivyokuja kusikia naona itakua ni kweli
Itakuwa kuna mistake amefanya wadau wakamreportAlafu uyo mwachiluwi kawa banned siajua ni kwann!
Itakuwa kuna mistake amefanya wadau wakamreport
Kabisaa.. ngoja atoke kifungoni atupe lonjaAnhaaβ¦.jamaa atakua Ana info za kutosha uyo
Ok, ngoja tuone mkuuYaaan yote hayo ni Ya kufikirika na hayana ukweli wowote subirini tangazo lingine
πππππSema madogo wa humu mna moyo aiseeeeh! Hamchoki tu ?