Jax66
JF-Expert Member
- Nov 10, 2023
- 561
- 510
Hata mm nimeona ni maajabu mkuu
😂😂😂hii ni maajaBu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂hii ni maajaBu...
😂😂😂hii ni maajaBu...
Ila haijajulikana ni lini mkuu Jax66 ?Kuna jamaa nimemskia kwa maskio yangu akiongea na mbanga wake kanali na akamwambia kua kuna uwezekano wa kuwepo kwa bogi la orjolo hivyo ameambiwa atulie asubir
Hata mimi nimesikia hii.. Ila Jeshi mabadiliko ni mda wowote.. Tuombe MunguNdio mkuu, jamaa hajaambiwa ni lin bt kaambiwa atulie asubir….means anafanyiwa mipango
Hata mimi nimesikia hii.. Ila Jeshi mabadiliko ni mda wowote.. Tuombe Mungu
Sahihi Kabisa mkuuKweli mkuu mabadiliko ni muda wowote….vijana waongeze maombi na ni vzr kutafuta mbanga
Ndoivo mkuuSahihi Kabisa mkuu
Sahihi Kabisa mkuu
Itakuwa mkuu... Soma comment #3657 kuna mdau Fake P Kamuelezea nadhani anamfahamuUyo jamaa anaejiita mwachiluwi nahisi labda itakua ni mjeda maana alivyoleta taarifa humu mm nikahisi masihara bt na mm nilivyokuja kusikia naona itakua ni kweli
Itakuwa kuna mistake amefanya wadau wakamreportAlafu uyo mwachiluwi kawa banned siajua ni kwann!
Itakuwa kuna mistake amefanya wadau wakamreport
Kabisaa.. ngoja atoke kifungoni atupe lonjaAnhaa….jamaa atakua Ana info za kutosha uyo
Ok, ngoja tuone mkuuYaaan yote hayo ni Ya kufikirika na hayana ukweli wowote subirini tangazo lingine
😄😃😀😀😀Sema madogo wa humu mna moyo aiseeeeh! Hamchoki tu ?