Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Uhakika upendi jeshi na unataka hela nenda bank sasa au fany harakat zinazokuingizia pesa achana na jeshi huu ni wito na muitikio wa mtu binafsi
Mtu kama huyu akiingia koz haezi akafungua moyo ataona kama anateswa lkn mtu anaekubali jeshi lazma atafungua moyo na koz inakua simple kwake 7bu ya morali
 
Ni sawa ila mpaka ubahatike kwenye sahili zao watazofany kama n huko rts au vikosn japo kuna umri ukiwa umefika ni ngum kwenda mfn nina mshkaj wang n degree holder ila mpk sasa n Pte wenzake wameula mwaka jana Tma so bahati pia ikiwa upande wako...
Ila ukishaenda saivi si ndo tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…