Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Huyo anaesema leo watu wanaapa ni vp sijaelewa maana nachojua Mimi waliokua rts Kihangahiko (msata) walishatoka mda tu hii inakatik wiki ya pili na mpka sasa nawaona wakishushwa (pass)kitaa na iveco zaoEleza kwa upana mkuu mi mwenyewe sjakuelewa
Mmmh mbn hyo taarifa mpya mkuu bado hawajaapa bhanaHuyo anaesema leo watu wanaapa ni vp sijaelewa maana nachojua Mimi waliokua rts Kihangahiko (msata) walishatoka mda tu hii inakatik wiki ya pili na mpka sasa nawaona wakishushwa (pass)kitaa na iveco zao
Sawa ngoja tuone,,,,unajua inaenda wiki ya nne saiv toka watoke poli??Mmmh mbn hyo taarifa mpya mkuu bado hawajaapa bhana
Kaka nahisi unaongea usichokijua. Waliopo rts sasahv ni BMS na ndio ronja zinasema wanaapa leo na pia hao huwa hawapangiwi vikosi wao wakishaapa wanapelekwa TAU pale wanafanya usaili mwingine then wanaenda chuo Monduli kupiga bachelor of military science miaka mitatu.Rts hipi hiyo mzee maan Kihangahiko waliokuwepo washaondoka kwenda vikos walivyopangwa na hii wiki yaan j3 na Jana Iveco zina wa mwaga mtaa tu mda ukitimia wanageuka ....sasa hao wanao hapa ni wap?
Ndio maan nimekuuliza rts ipi?? Oljoro ama KihangahikoKaka nahisi unaongea usichokijua. Waliopo rts sasahv ni BMS na ndio ronja zinasema wanaapa leo na pia hao huwa hawapangiwi vikosi wao wakishaapa wanapelekwa TAU pale wanafanya usaili mwingine then wanaenda chuo Monduli kupiga bachelor of military science miaka mitatu.
Kaka nahisi unaongea usichokijua. Waliopo rts sasahv ni BMS na ndio ronja zinasema wanaapa leo na pia hao huwa hawapangiwi vikosi wao wakishaapa wanapelekwa TAU pale wanafanya usaili mwingine then wanaenda chuo Monduli kupiga bachelor of military science miaka mitatu.
MsataUpo sahihi kabisa mkuu ila wapo shule gani sasa msata au Oljoro?
Nakazia📌📌Kaka nahisi unaongea usichokijua. Waliopo rts sasahv ni BMS na ndio ronja zinasema wanaapa leo na pia hao huwa hawapangiwi vikosi wao wakishaapa wanapelekwa TAU pale wanafanya usaili mwingine then wanaenda chuo Monduli kupiga bachelor of military science miaka mitatu
Sawa mkuu vipi watu wanaanza kuingia lin hapo shuleni maana kama Kuna ratiba ya hafla hii bas hata kwenye ratiba hiyo itakuwepo pia au ndio siku/wiki/ isiyojulikana?unauhakika na unachokiongea? mana waliokuwepo RTS ni hawa vijana waliomaliza form 6 na ndio wanaapa leo msata.
Kama hakutakuwa na AZIWEA, mwezi wa saba watakaobahatika watakuwa wakitumikia UZALENDO shuleniSawa mkuu vipi watu wanaanza kuingia lin hapo shuleni maana kama Kuna ratiba ya hafla hii bas hata kwenye ratiba hiyo itakuwepo pia au ndio siku/wiki/ isiyojulikana?
Sijaelewa aseeKama hakutakuwa na AZIWEA, mwezi wa saba watakaobahatika watakuwa wakitumikia UZALENDO shuleni
Mkuu katika ile miezi 6 ya kozi,uzalendo ni bure kitendo?Kama hakutakuwa na AZIWEA, mwezi wa saba watakaobahatika watakuwa wakitumikia UZALENDO shuleni
Kama hawajaghairi na kubadili ratiba kama ilivyo kawaida ya mTiPiDii, basi mwezi wa Saba watu watakuwa RTS, wakiwa WAZALENDO… Wanasubiri kozi ianze rasmiSijaelewa asee
Hii mbona ndo ilivyo mkuu… 😁Mkuu katika ile miezi 6 ya kozi,uzalendo ni bure kitendo?
Kaka ushaanza kuulizia scaleWajuzi wa mambo Scale ya Private JW mwenye form four na form six zinatofautiana?
Hayuko serious, heheheKaka ushaanza kuulizia scale
Mbanga uhakika nn?
Hamna kitu bro kwanza nisha give up huko mtipidiiii....now acha ni focus kweny plans nyingne tuKaka ushaanza kuulizia scale
Mbanga uhakika nn?