bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,337
- 2,339
Kwann mkuu?Hamna kitu bro kwanza nisha give up huko mtipidiiii....now acha ni focus kweny plans nyingne tu
Mzee vipi umeangalia ITV leo maana ulikuwa unasema watu washaapaLabda ni hivo ila hii wiki watu walikua wanapewa pass hata hiyo jana walikuwepo mtaa hao form six waliokuwa RTS ila hili la leo kwamba wanaapa ndio imekuja kunishtua kidogo maan niliskia walishaondoka,,,,,, Kama unakumbuka hapo nyuma kuna jamaa alisema humu zilienda gari mbil za service man kutoka ruvu kufny usafi pale
washakula kiapo leo hiyoMzee vipi umeangalia ITV leo maana ulikuwa unasema watu washaapa
Yeap bro muda hauna offerKwann mkuu?
Hili swali humu watu wataishia kujib juu juu maan wengi hatujaonja huo mzigo labd kama waliowahi pita huko waje watupe feedback...Hivi stori za watu wakiingia huko wanatoroka/kukimbia?
sababu hasa huwa ni zipi kwasab wengn wanazihitaji hizo nafas kwa udi na uvumba.
Hahaha alijichanganya kidogo mkuu lkn muhimu tulimrekebisha akaelewaMzee vipi umeangalia ITV leo maana ulikuwa unasema watu washaapa
Mkuu vp tulotuma maombi kupitia email wanasemaaje upande huoNext week OP Mabeyo wanaanza kuripoti. Wa mtaani omba na sali sana sababu kimaelekezo hakujawahi kuwa na intake ngumu kuchomeka mtu kama hii.
NakaziaIla bro unajua sisi tunazililia hizi nafasi Ila wapo ambao upelekwa kwa shinikizo la familia na koo walizotoka so hatufanani....hata ufunguaji wa moyo ni tofauti hapo we unafny kitu unapenda so utakua radhi kuenyeka ila kama umeshinikizwa lazma hata rohon utakua na mkinzano mwili unataka moyo hautaki🙌
Sahihi hii bro 💯Next week OP Mabeyo wanaanza kuripoti. Wa mtaani omba na sali sana sababu kimaelekezo hakujawahi kuwa na intake ngumu kuchomeka mtu kama hii.
Walimwagwa labda kwaajili ya mahitaj yaoNi sawa kama walikua hawajaapa bado but trust me hii wiki walikua wanamwagwa pass hata jana walikua mtaa pia ndio nilichoshtuka maana Kuna mkufunzi aliniambia washamaliza so nilipoona wapo mtaani nlijua hadi kihapo ilkua tayr kumbe nope
Maybe...Walimwagwa labda kwaajili ya mahitaj yao
Za chiniii chiniii mzigo SeptemberNext week OP Mabeyo wanaanza kuripoti. Wa mtaani omba na sali sana sababu kimaelekezo hakujawahi kuwa na intake ngumu kuchomeka mtu kama hii.
KmmkeZa chiniii chiniii mzigo September
Me nmesikia DecemberZa chiniii chiniii mzigo September
Mi nmeskia azwea hamna koziMe nmesikia December
🤣🤣 nomaMi nmeskia azwea hamna kozi