Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Hivi stori za watu wakiingia huko wanatoroka/kukimbia?
sababu hasa huwa ni zipi kwasab wengn wanazihitaji hizo nafas kwa udi na uvumba.
 
Labda ni hivo ila hii wiki watu walikua wanapewa pass hata hiyo jana walikuwepo mtaa hao form six waliokuwa RTS ila hili la leo kwamba wanaapa ndio imekuja kunishtua kidogo maan niliskia walishaondoka,,,,,, Kama unakumbuka hapo nyuma kuna jamaa alisema humu zilienda gari mbil za service man kutoka ruvu kufny usafi pale
Mzee vipi umeangalia ITV leo maana ulikuwa unasema watu washaapa
 

Attachments

  • 6dd622e6-3f73-4137-94cc-169695b1338a.jpeg
    6dd622e6-3f73-4137-94cc-169695b1338a.jpeg
    37.6 KB · Views: 15
Ila bro unajua sisi tunazililia hizi nafasi Ila wapo ambao upelekwa kwa shinikizo la familia na koo walizotoka so hatufanani....hata ufunguaji wa moyo ni tofauti hapo we unafny kitu unapenda so utakua radhi kuenyeka ila kama umeshinikizwa lazma hata rohon utakua na mkinzano mwili unataka moyo hautaki🙌
 
Ila bro unajua sisi tunazililia hizi nafasi Ila wapo ambao upelekwa kwa shinikizo la familia na koo walizotoka so hatufanani....hata ufunguaji wa moyo ni tofauti hapo we unafny kitu unapenda so utakua radhi kuenyeka ila kama umeshinikizwa lazma hata rohon utakua na mkinzano mwili unataka moyo hautaki🙌
Nakazia
 
Ni sawa kama walikua hawajaapa bado but trust me hii wiki walikua wanamwagwa pass hata jana walikua mtaa pia ndio nilichoshtuka maana Kuna mkufunzi aliniambia washamaliza so nilipoona wapo mtaani nlijua hadi kihapo ilkua tayr kumbe nope
 
Ni sawa kama walikua hawajaapa bado but trust me hii wiki walikua wanamwagwa pass hata jana walikua mtaa pia ndio nilichoshtuka maana Kuna mkufunzi aliniambia washamaliza so nilipoona wapo mtaani nlijua hadi kihapo ilkua tayr kumbe nope
Walimwagwa labda kwaajili ya mahitaj yao
 
Back
Top Bottom