Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Ata mimi wa Jax wameniambia ivo leo mapema walivokuwa FoleniJmn naombeni sana niwaaminishe kuwa tangazo ni la kweli nililipata kutoka kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika jana saa sita kasoro usiku.
Kwa kuongezea ni kwamba waliopo jkt barua hii wamesomewa leo asbh na wameambiwa kwa kuwa wao walishafanya uhakiki zitaanza kusomwa message na watu wataanza kwenda RTS kwa message.
By Zafrain sag.