Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Ata mimi wa Jax wameniambia ivo leo mapema walivokuwa FoleniJmn naombeni sana niwaaminishe kuwa tangazo ni la kweli nililipata kutoka kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika jana saa sita kasoro usiku.
Kwa kuongezea ni kwamba waliopo jkt barua hii wamesomewa leo asbh na wameambiwa kwa kuwa wao walishafanya uhakiki zitaanza kusomwa message na watu wataanza kwenda RTS kwa message.
By Zafrain sag.
Mkuu samahani ivi apo na medical form ni lazima nayo tuiattach?Jmn naombeni sana niwaaminishe kuwa tangazo ni la kweli nililipata kutoka kwenye vyanzo vyangu vya kuaminika jana saa sita kasoro usiku.
Kwa kuongezea ni kwamba waliopo jkt barua hii wamesomewa leo asbh na wameambiwa kwa kuwa wao walishafanya uhakiki zitaanza kusomwa message na watu wataanza kwenda RTS kwa message.
By Zafrain sag.
Usikariri babu,Wewe kama huamini acha usiombe ila jua tangazo ni la kweli.Yaani hata picha hamuoni jamani chapisho gani chafu ivyo halina mpangilio wa barua au tangazo..mbona la polisi mlisoma vizuri bila haya mashaka.
Apo peleka mkononi moja kwa mojaMzee apo kwahiyo inatumwa kwa posta,EMS au email yao?
Mna uhakika wakuu mm rts siwez kwenda? Hiv mnajua mm ni mkuu wa kitengo gani humu jf kwa kuanzia tu?😂😂😂Rtiesin kule Utapigwa tifu mpaka ukubali unafurahi saiz nasema ivi ukitoboa kozi nifukuzwe kazi hahaha natania
Hii ni njia nzuri ila hata kwa EMS ni njia sahihi kwa waliopo mbali na Dodoma.Apo peleka mkononi moja kwa moja
Hapo so lazima hiyo medical form Kaa nayo utakutana na usahili mzito mwingine utajaziwa uko ukoMkuu samahani ivi apo na medical form ni lazima nayo tuiattach?
Unajua nini chief mtaani watu tushapigika sana alaf kwa lonjalonja zilizotembea humu watu tunaona bora tujarib tu hatuwezi jua je kama ni kweli alaf tarehe za tangazo zikawa mwishon au changamoto yoyote ikatokea ya mtandao unahisi tutajisikiaje,Yaani hata picha hamuoni jamani chapisho gani chafu ivyo halina mpangilio wa barua au tangazo..mbona la polisi mlisoma vizuri bila haya mashaka.
Kalaga baho, unaendekeza sana nongwaYaani hata picha hamuoni jamani chapisho gani chafu ivyo halina mpangilio wa barua au tangazo..mbona la polisi mlisoma vizuri bila haya mashaka.
Mkuu samahani ivi apo na medical form ni lazima nayo tuiattach
Yes kaka,Vijana waombe tu waondoe shakaAta mimi wa Jax wameniambia ivo leo mapema walivokuwa Foleni
Yessssss nyie ndo wanangu wa faida huy Godlover Achanen naye bado kijana mdogo sana huyuAta mimi wa Jax wameniambia ivo leo mapema walivokuwa Foleni
Unajua nini chief mtaani watu tushapigika sana alaf kwa lonjalonja zilizotembea humu watu tunaona bora tujarib tu hatuwezi jua je kama ni kweli alaf tarehe za tangazo zikawa mwishon au changamoto yoyote ikatokea ya mtandao unahisi tutajisikiaje,
Hata watu wa dini wanasema ni bora uamini Mungu yupo ata ukienda uko husipomtuka afadhali kuliko, kudharau alafu umkute
Kalaga baho, unaendekeza sana nongwa
Naungana na Ramson97....msikose wapiganaji. HAKUNA MATATA.Kila la kher kwa wote
Medical form haihitajiki kaka ambatanisha vile tu walivyosema wao uambatanisheMkuu samahani ivi apo na medical form ni lazima nayo tuiattach?
[emoji2][emoji2]Dar to Dodoma nauli bei gani?Apo peleka mkononi moja kwa moja
Shukrani ngoja tujaribMedical form haihitajiki kaka ambatanisha vile tu walivyosema wao uambatanishe
Kikubwa Damu iwe safi muombe na Mungu piaShukrani ngoja tujarib
Nini kinachafua damu mkuu nikijue kabisa kama vip niache kukila kwa muda huu mambo yasiwe mengiKikubwa Damu iwe safi muombe na Mungu pia
Nyapu inachafua sana Damu ukija bogi la kurud skani lazima likuhusuNini kinachafua damu mkuu nikijue kabisa kama vip niache kukila kwa muda huu mambo yasiwe mengi
HIV,HEPATITISNini kinachafua damu mkuu nikijue kabisa kama vip niache kukila kwa muda huu mambo yasiwe mengi