Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Hata kama imeoshwa? Mm na jobless huu nyapu sio hitaj muhimu naiacha tuNyapu inachafua sana Damu ukija bogi la kurud skani lazima likuhusu
Vyote hiv sina, na mara ya mwisho kutumia kileo ilikuwa mwaka jana mwezi wa 10HIV,HEPATITIS
[emoji2][emoji2]unakitu wewe jamaa utafika mbaliMna uhakika wakuu mm rts siwez kwenda? Hiv mnajua mm ni mkuu wa kitengo gani humu jf kwa kuanzia tu?
Unataka chambo hahaha ,wakuandika Alf apeleke makao makuu jwtz sioo😁😁Jamani ushauri wa Bure naona kulikuwa na ubishani mkubwa kuwa ni ya kweli au uongo ila sasa ni ivi mtu mmoja aandike barua apeleke kwa mkono ofisini tutapata majibu
😂😂Eagle Coy.. itabidi ajitokeze mmoja apeleke barua kwa mkono afu atupe mrejesho imepokelewa au ni uongo amefukuzwa''Unataka chambo hahaha ,wakuandika Alf apeleke makao makuu jwtz sioo😁😁
Shukrani mkuu, pia kuna haja ya kubandika picha ya passport kwenye barua kweli?Kikubwa Damu iwe safi muombe na Mungu pia
Halipo kwenye Website yaoAngalieni kwenye website yao kama tangazo lipo au halipo
Heee kumbe watu mmeshaandika na barua mnaanza kuattach vitu vinavyohitajika afu mimi nashangaa tu Dogo asije akabaki KitaaShukrani mkuu, pia kuna haja ya kubandika picha ya passport kwenye barua kweli?
😂😂😂😂😂si umesema ni fekiHeee kumbe watu mmeshaandika na barua mnaanza kuattach vitu vinavyohitajika afu mimi nashangaa tu Dogo asije akabaki Kitaa
Maelekezo ya tangazo yamekutaka uweke passport??Kama wamesema uattach na passport weka.Shukrani mkuu, pia kuna haja ya kubandika picha ya passport kwenye barua kweli?
Hahaha changamoto watu waliopo Chomboni nao hawajui hili tangazo limetoka wapi ndo nakuwa na wasiwas😂😂😂😂😂si umesema ni feki
Tatizo hawataki kupeleka barua zao wa wape watu mwangaaa😁😁😁Heee kumbe watu mmeshaandika na barua mnaanza kuattach vitu vinavyohitajika afu mimi nashangaa tu Dogo asije akabaki Kitaa
Kichwa kigumu kama jiwe🥴Kama tangazo hata kwenye website yao halipo basi linatia shaka sana
Achana nao pale ambapo watakuwa wameomba wachache wenye usikivu na wakachaguliwa kwenda kozi ndio zitaanza ningejua ningejuaKichwa kigumu kama jiwe🥴
Waeleze mkuu pengine watakusikia.Hakuna kitu hapo msijidanganye ajira za jeshi haziwagi hivo
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Wenye usikivu wapeleke barua Dodoma afu watupe mrejesho 😃Achana nao pale ambapo watakuwa wameomba wachache wenye usikivu na wakachaguliwa kwenda kozi ndio zitaanza ningejua ningejua