Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

We acha tu yaan pale kihangaiko ndio mwisho kama mmbanga wako hana maji unatoka kweupeee kuna bog la baba kanituma kabla kozi kuanza mtajione wenyewe
Kwahiyo kama una mbanga ambayo ipo hapo hap kihangahiko kutoboa ni uhakika hata bila kutuma mi barua yao au sio?
 
Kwa walioombea form 6 wanachukua muda gani mpaka kwenda kozi ya uafisa?
Siku hizi form six kwenda TMA ni ngumu sababu huchukuliwa wale wa BMS. Kutokea vikosini wanaoenda TMA mara nyingi ni kuanzia degree kwa siku hizi na muhimu uwe na mbanga pia maana maprivate wenye degree vikosini wapo wa kutosha tu.
 
Siku hizi form six kwenda TMA ni ngumu sababu huchukuliwa wale wa BMS. Kutokea vikosini wanaoenda TMA mara nyingi ni kuanzia degree kwa siku hizi na muhimu uwe na mbanga pia maana maprivate wenye degree vikosini wapo wa kutosha tu.
asante sana umepiga penyewe me nina mwanangu n private na n degree holder...ila kuingia TMA n kasheshe sema anabak kula P.A tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…