Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Mwanangu we jau๐Wakuu hii Rts iko wapi na nauli kias gan mambo yasiwe mengi mda huu niko naelekea mbezi luis
Ana bwabwaja kisa huko nyuma alisemaga aliwah kukaa kota...๐๐๐Huyo nae hajui ata kuongea nn naona porojo tu hapo na ujuaji mwingi๐คฃ๐คฃ
Huyo nae hajui ata kuongea nn naona porojo tu hapo na ujuaji mwingi๐คฃ๐คฃ
๐ Sema wakuu ronja zinasema kozi inatakiwa kuanza mwezi wa Tisa saivi wapo wanaandaa camp bogi la term hii linachukua watu wengi sana wanaongeza maanga RTS zote mbili, ila term hii tutegemee pdf sio meseji na nikuanzia tarehe 21 next weekAna bwabwaja kisa huko nyuma alisemaga aliwah kukaa kota...๐๐๐
Watu wanataka kujua huu mchakato wa kuitwa utakua lini ila sasa wajuzi wa mambo pwampwa nyingi sana humu....njoo moja kwa mojaa bhn me nmeskia ronja zinasema hivi sio kuropoka kama mzee lomolomo kashabugia matapu tapu๐ฎ
Kutoka dar mpk msata haifiki elfu kumi mkuu panda gari la kwenda tanga unashukia palepale kikosiniWakuu hii Rts iko wapi na nauli kias gan mambo yasiwe mengi mda huu niko naelekea mbezi luis
Haina noma mkuu. Nipe neno la mwisho mwishoKutoka dar mpk msata haifiki elfu kumi mkuu panda gari la kwenda tanga unashukia palepale kikosini
Hizi sasa ndo lonja tunazozitaka sio kama huyo Marco polo anaongea uongouongoo tu. Ingawa mi Kuna kipindi kabla nafas hazjatoka mbanga iliniambia usahili utapigika dodoma ingawa kwa nnavoujua utaratibu wa tpdf ni sms Moja tu uripoti rts kwa usahili wa vipimo na vikolombwezo vingine. Skutaka kuulizwa Maswali mengi ngj tuone safari hii utaratibu utakuaje.๐ Sema wakuu ronja zinasema kozi inatakiwa kuanza mwezi wa Tisa saivi wapo wanaandaa camp bogi la term hii linachukua watu wengi sana wanaongeza maanga RTS zote mbili, ila term hii tutegemee pdf sio meseji na nikuanzia tarehe 21 next week
Asa mkuu ata kihangaiko hupajui utatoboa kweli?๐คฃ๐คฃ.Haina noma mkuu. Nipe neno la mwisho mwisho
Ukipata utatuambia mkuu mm natangulia kabisaHizi sasa ndo lonja tunazozitaka sio kama huyo Marco polo anaongea uongouongoo tu. Ingawa mi Kuna kipindi kabla nafas hazjatoka mbanga iliniambia usahili utapigika dodoma ingawa kwa nnavoujua utaratibu wa tpdf ni sms Moja tu uripoti rts kwa usahili wa vipimo na vikolombwezo vingine. Skutaka kuulizwa Maswali mengi ngj tuone safari hii utaratibu utakuaje.
Nakimbia kichizi mkuu, yan nina bode la misiksi paki ka yote. Mapema sanaAsa mkuu ata kihangaiko hupajui utatoboa kweli?๐คฃ๐คฃ.
Joking๐๐๐
Bodi Kwan ndo sifa ya kutoboa๐๐. Sifa moraliNakimbia kichizi mkuu, yan nina bode la misiksi paki ka yote. Mapema sana
Morali si naipabdisha na bange mbili tu...Bodi Kwan ndo sifa ya kutoboa๐๐. Sifa morali
๐ฅด๐ฅดMorali si naipabdisha na bange mbili tu...
Morali si naipabdisha na bange mbili tu...
Bange kule mkuu kama ugali tu.. unatakiwa upige paf walau 2 kila baada ya masaa 3. Naongea hiv sabab y maelezo ya mbanga wangu๐๐๐๐Ivii kule RTS bangee wanaruhusu kweny kipind cha kozii
Wakuu shusheniii vituuu m nishaambiwa nijiandae koz mwez wa tisa
Na kwa ambao awatumii c wana survive vzr tuuhBange kule mkuu kama ugali tu.. unatakiwa upige paf walau 2 kila baada ya masaa 3. Naongea hiv sabab y maelezo ya mbanga wangu
Bange kule mkuu kama ugali tu.. unatakiwa upige paf walau 2 kila baada ya masaa 3. Naongea hiv sabab y maelezo ya mbanga wangu
Si uhakika tu.. mm mkuu hadi kituo cha kazi nishachagua. Na mwakan naenda kozi Netherland itataka watu 120 tu n mm nimoVp na we mkuu mbanga kashakupa uwakika wa kujiandaa kwa ajili ya kozii