Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Huyo nae hajui ata kuongea nn naona porojo tu hapo na ujuaji mwingi๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ana bwabwaja kisa huko nyuma alisemaga aliwah kukaa kota...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Watu wanataka kujua huu mchakato wa kuitwa utakua lini ila sasa wajuzi wa mambo pwampwa nyingi sana humu....njoo moja kwa mojaa bhn me nmeskia ronja zinasema hivi sio kuropoka kama mzee lomolomo kashabugia matapu tapu๐Ÿšฎ
 
๐Ÿ˜‚ Sema wakuu ronja zinasema kozi inatakiwa kuanza mwezi wa Tisa saivi wapo wanaandaa camp bogi la term hii linachukua watu wengi sana wanaongeza maanga RTS zote mbili, ila term hii tutegemee pdf sio meseji na nikuanzia tarehe 21 next week
 
๐Ÿ˜‚ Sema wakuu ronja zinasema kozi inatakiwa kuanza mwezi wa Tisa saivi wapo wanaandaa camp bogi la term hii linachukua watu wengi sana wanaongeza maanga RTS zote mbili, ila term hii tutegemee pdf sio meseji na nikuanzia tarehe 21 next week
Hizi sasa ndo lonja tunazozitaka sio kama huyo Marco polo anaongea uongouongoo tu. Ingawa mi Kuna kipindi kabla nafas hazjatoka mbanga iliniambia usahili utapigika dodoma ingawa kwa nnavoujua utaratibu wa tpdf ni sms Moja tu uripoti rts kwa usahili wa vipimo na vikolombwezo vingine. Skutaka kuulizwa Maswali mengi ngj tuone safari hii utaratibu utakuaje.
 
Ukipata utatuambia mkuu mm natangulia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ