Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote zinatakiwa kuajiri
umenyoosha kabisa yan maana kuna mkufunzi mmoja aliwah nidokeza this year wanaweza chukua hata watu6000
 
Kaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote zinatakiwa kuajiri
Panaitwa RTS OLJORO sio LONGIDO mkuu😎
 
Back
Top Bottom