Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Huyu msichana sijui ataweza au vipHakuna neno, hapa ni mbio nyingi + squats huku mbanga ikichekiwa kila saa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu msichana sijui ataweza au vipHakuna neno, hapa ni mbio nyingi + squats huku mbanga ikichekiwa kila saa
Anhaa, basi uhakika kumbeHiyo mbanga mzee kaz
Msichana gani tena?Huyu msichana sijui ataweza au vip
Kwa kujitolea mkataba wake n muda ganMwezi wa 8 tarehe za kwenye 20 naaaa... ndo huwa wanatangaza nafasi
Dogo langu lipo tuMsichana gani tena?
Asalaleee atasaidiwaDogo langu lipo tu
2 good years of heavy workKwa kujitolea mkataba wake n muda gan
umenyoosha kabisa yan maana kuna mkufunzi mmoja aliwah nidokeza this year wanaweza chukua hata watu6000Kaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote zinatakiwa kuajiri
Tunaenda kupigana Israel au Ukraine nini mbona wengi hivo?umenyoosha kabisa yan maana kuna mkufunzi mmoja aliwah nidokeza this year wanaweza chukua hata watu6000
kwan ujaona kada nyingine ajira zilivyomwagwa....alaf pia hawa ndio walinda amani ya taifa lako unajua hilo na mwakan unajua kuna agenda gan....pengn wakahitajika weng kweny nat...boundsTunaenda kupigana Israel au Ukraine nini mbona wengi hivo?
Naam kaka na sio Tu watu 6000 wanaweza kuongezeka kulingana na maandalizi kukamilika kwa wakati ndo vikao vinavyoendelea kwa sasaumenyoosha kabisa yan maana kuna mkufunzi mmoja aliwah nidokeza this year wanaweza chukua hata watu6000
Sure tunapakana na nchi nyingikwan ujaona kada nyingine ajira zilivyomwagwa....alaf pia hawa ndio walinda amani ya taifa lako unajua hilo na mwakan unajua kuna agenda gan....pengn wakahitajika weng kweny nat...bounds
Sahihi maan hiyo ni range ya chin maan wapo wanaodai 8K so ngoja tuone......Naam kaka na sio Tu watu 6000 wanaweza kuongezeka kulingana na maandalizi kukamilika kwa wakati ndo vikao vinavyoendelea kwa sasa
Panaitwa RTS OLJORO sio LONGIDO mkuu😎Kaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote zinatakiwa kuajiri
Naam OLJORO MkuuPanaitwa RTS OLJORO sio LONGIDO mkuu😎
Yeah wanaweza kufika inshu imekaa kisiasa hiiSahihi maan hiyo ni range ya chin maan wapo wanaodai 8K so ngoja tuone......
Kaka kateleza kidogo tu ila yupo mulemule....kuna mwamba yupo orjolo saiv sahil za Tanapa....kaniambia ni kwel kuna maanga mapya ndio wanamalizia finishing....Panaitwa RTS OLJORO sio LONGIDO mkuu😎
Unakumbuka 2022 Jin's walvokua nyomi. Zilipigwa bogi 2 kihangaiko alaf baada ya kuhitimu ikapigwa Moja oljoroSahihi maan hiyo ni range ya chin maan wapo wanaodai 8K so ngoja tuone......
Hahaha ndo Ivo mkuuKaka kateleza kidogo tu ila yupo mulemule....kuna mwamba yupo orjolo saiv sahil za Tanapa....kaniambia ni kwel kuna maanga mapya ndio wanamalizia finishing....
soon kinawaka Omar omar mwaga madini una vitu 😄