Hio sio poa mengine watakutana nayoNaona utatoroka wiki ya kutolewa urai wewe kule zoezi jepesi ni push up tu kuna mapenzi ya nyoka kutundika ni zoezi nalichukia zaidi na adhabu ya batakanya
Kuna ile sijui twende Cuba iyo nilikutana nayo Mujib wa sheria pamoja na kwamba scale yake ni ndogo lakin chozi lilikaribia kunitoka wale maservice man walitukomoa, Ile mapenzi ya nyoka nayo sio mchezoNaona utatoroka wiki ya kutolewa urai wewe kule zoezi jepesi ni push up tu kuna mapenzi ya nyoka kutundika ni zoezi nalichukia zaidi na adhabu ya batakanya
Duh pole haya mambo bhna ww acha tu ukikaa ulafiliria wee unasema duh haina jins unafungua moyoKuna ile sijui twende Cuba iyo nilikutana nayo Mujib wa sheria pamoja na kwamba scale yake ni ndogo lakin chozi lilikaribia kunitoka wale maservice man walitukomoa, Ile mapenzi ya nyoka nayo sio mchezo
Me ndo maana nawaheshim sana nyie mliovaa maana nikisikia scale yenu ilivyo nikilinganisha na sisi tuliopita jkt mujib wa sheria nasema jeshi kugangamala, kuna copro mmoja hiv anaitwa Sese yule jamaa ni noma sana pia private anaitwa Aloyce aka Super Feo wale watu i salute them..Duh pole haya mambo bhna ww acha tu ukikaa ulafiliria wee unasema duh haina jins unafungua moyo
Ahha sese wa 839kj?Me ndo maana nawaheshim sana nyie mliovaa maana nikisikia scale yenu ilivyo nikilinganisha na sisi tuliopita jkt mujib wa sheria nasema jeshi kugangamala, kuna copro mmoja hiv anaitwa Sese yule jamaa ni noma sana pia private anaitwa Aloyce aka Super Feo wale watu i salute them..
Uyouyo Makuyuni moja iyoAhha sese wa 839kj?
AhahhaahUyouyo Makuyuni moja iyo
Hayo mambo ndo yapo Vipi,ufafanuzi mkuu!Naona utatoroka wiki ya kutolewa urai wewe kule zoezi jepesi ni push up tu kuna mapenzi ya nyoka kutundika ni zoezi nalichukia zaidi na adhabu ya batakanya
Akiwa nyumban n mpolee kichizi msabato ππ,, mkute kambinAhha sese wa 839kj?
Sasa ivi Kuna private anaitwa jambiaMe ndo maana nawaheshim sana nyie mliovaa maana nikisikia scale yenu ilivyo nikilinganisha na sisi tuliopita jkt mujib wa sheria nasema jeshi kugangamala, kuna copro mmoja hiv anaitwa Sese yule jamaa ni noma sana pia private anaitwa Aloyce aka Super Feo wale watu i salute them..
[emoji2][emoji2]jambia kuna chenja inaimbwa "mama mbuzi mee kamlilia mwanae" anaipenda kinoma ilikuwa zam yake sanasana weeknd ile usiku tunapiga na mandoo yetu yeye anafurah kinoma tena apo anatafuta kiti kabisa anakaa katikati ya kombania yetu D coy kimbembe asikie kuna afande anakuja upepo anaubadili sekunde tu.Sasa ivi Kuna private anaitwa jambia
utayakutaHayo mambo ndo yapo Vipi,ufafanuzi mkuu!
Aaaa anapenda Sana diniAkiwa nyumban n mpolee kichizi msabato ππ,, mkute kambin
KafupiSasa ivi Kuna private anaitwa jambia
Uyo mmama si bibi mbuzi[emoji2][emoji2]jambia kuna chenja inaimbwa "mama mbuzi mee kamlilia mwanae" anaipenda kinoma ilikuwa zam yake sanasana weeknd ile usiku tunapiga na mandoo yetu yeye anafurah kinoma tena apo anatafuta kiti kabisa anakaa katikati ya kombania yetu D coy kimbembe asikie kuna afande anakuja upepo anaubadili sekunde tu.
Kuna day nilichelewa kunyoa nakumbuka ilikuwa jpili usiku baada ya chakula nikawa nanyoa asee sikuile sijui alivuta bangi za wapi alivyotukuta alitupiga doso mm na kinyozi wangu mixer kuroll uelekeo kule quarter za makoplo niliroll nakuja kuinuka kizunguzungu tu, ile siku nakumbuka aliekuja kutuokoa ni hodar koplo mmoja hiv mmama ndo alimsema sana Jambia ratio yako punguza mixer akaitwa hadi kwa Meja Dan akapewa onyo. Baada ya apo ikawa atleast
Jerry Amuko Sese mtu mbaya sanaAhha sese wa 839kj?
Ogopa sana ukutane na huyu mtu mjaluo halafu msabato halafu NI CplππππππAkiwa nyumban n mpolee kichizi msabato ππ,, mkute kambin
Huyo yupo muda mefu sana hamjamkuta feo yule alikua ni Simba wa makuyuniSasa ivi Kuna private anaitwa jambia
ππππ Wewe Mwachiluwi nakujua kabisa Op makao? ukaenda mbweni?Uyo mmama si bibi mbuzi
Ahahhahahahh Havana mkuu tuliaJerry Amuko Sese mtu mbaya sana
Ogopa sana ukutane na huyu mtu mjaluo halafu msabato halafu NI Cplππππππ
Huyo yupo muda mefu sana hamjamkuta feo yule alikua ni Simba wa makuyuni
ππππ Wewe Mwachiluwi nakujua kabisa Op makao? ukaenda mbweni?
Hao wote mnao wazungumzia natumaini wastaafu Sasa.