Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ndio maana kwa hii case unapaswa uwe na affidavit yako popote uendapo kwenye usahili
Kuna dogo alileta mbwembwe mkimaliza usaili lazima upigwe ukaguzi kwenye mabegi yenu "tranka" ili mtu asitumie dawa wakati wa kozi dogo alikutwa na panado anaulizwa anajifanya mzee wake mzito huko makao walimla kichwa atakama mbanga yako ni maji marefu nidhamu mihimu
 
Uhakika ujuaji hautakiwi kuwa mwingi uwanja wa ugenini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…