Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Yeap hii huwa ndio inatakiwa maan kuna masela niliwah kukutana nao wanaitafuta hii na walipewa pass kwenda kufatilia hii na wameapa mwaka Jana October 28 kihangahikoSi Kuna affidavits mkuu
Kaka nmechokoza raia wamekurupuka wamamwaga nondo tu😂11 people are here🤣🤣
Muhimu piah mbanga awe na maji😎Yeap hii huwa ndio inatakiwa maan kuna masela niliwah kukutana nao wanaitafuta hii na walipewa pass kwenda kufatilia hii na wameapa mwaka Jana October 28 kihangahiko
Kuna dogo alileta mbwembwe mkimaliza usaili lazima upigwe ukaguzi kwenye mabegi yenu "tranka" ili mtu asitumie dawa wakati wa kozi dogo alikutwa na panado anaulizwa anajifanya mzee wake mzito huko makao walimla kichwa atakama mbanga yako ni maji marefu nidhamu mihimuNdio maana kwa hii case unapaswa uwe na affidavit yako popote uendapo kwenye usahili
Ndo nzuri hyo tunatiana moyo. Na huu Uzi haitakufa mpaka wakuu mpk tuajiriweKaka nmechokoza raia wamekurupuka wamamwaga nondo tu😂
Uhakika ujuaji hautakiwi kuwa mwingi uwanja wa ugeniniKuna dogo alileta mbwembwe mkimaliza usaili lazima upigwe ukaguzi kwenye mabegi yenu "tranka" ili mtu asitumie dawa wakati wa kozi dogo alikutwa na panado anaulizwa anajifanya mzee wake mzito huko makao walimla kichwa atakama mbanga yako ni maji marefu nidhamu mihimu
ndioSi Kuna affidavits mkuu
Kazi kweli kweli😂😂
Kuna mwamba alikua anaitwa anasemeshwa akawa asikii vizuri dadeqii akala panga😥
Wapemba wengi wanakimbia hapoLazima marinda wakucheki
Utoto mwingiUhakika ujuaji hautakiwi kuwa mwingi uwanja wa ugenini
Kwann wanakimbia sasa🤣 kwani kipi kipya kuchunguliwa mbn kawaida tuWapemba wengi wanakimbia hapo
Wenyewe wanakwambia uku kudharilishana ukuKwann wanakimbia sasa🤣 kwani kipi kipya kuchunguliwa mbn kawaida tu
😁Kwann wanakimbia sasa🤣 kwani kipi kipya kuchunguliwa mbn kawaida tu
Ukute huwa wanatimuliwa kibox manyoya yaheee😂Wenyewe wanakwambia uku kudharilishana uku
Sifa maelekezo jeshini maelekezoHivi Hawa watu wa uraiani huwa wanachomekwa vp huko rts....Kwan majina yanatoka makao au yanatoka rtiesin kurud makao? Useme hao wasela kupiga mzigo bila jakata?
Aaaah kmmke yani Jin's ilivongumu kupata nafas eti nikimbie labda nirogwe. Oa hapo ndo pakujengea maisha yako. Tena inabid upige kaz kwa kuipenda la sivyo utoboiWenyewe wanakwambia uku kudharilishana uku
Ahhahah mm nakumbuka wengi waligoma wakaondokaUkute huwa wanatimuliwa kibox manyoya yaheee😂
Tema mate chini mkuu kila mtu anasema hivoAaaah kmmke yani Jin's ilivongumu kupata nafas eti nikimbie labda nirogwe. Oa hapo ndo pakujengea maisha yako. Tena inabid upige kaz kwa kuipenda la sivyo utoboi
Huo MS unaisha Lin?Sifa maelekezo jeshini maelekezo
Now unafanyika usahili wa millitary science tarehe 23 mwezi uhuu ukiisha ndio nafikir unakuja uho zoa zoa