Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mimi nilifika mpaka msata kaka kwenye vipimo.. katika sehem unatakiwa umuombe mungu au kama una mbanga unatakiwa uisumbue ni pale kuna figisu nikajaza kuna fomu mtapewa mjaze sijui taalifa zenu binafsi nikajaza kuna taratibu nyingine mtaona nikafanya sasa kwenye vipimo nikafanya yakasomwa majina ya unfit langu likawepo oya wana walikua wanalia tulitemwa

Mimi nilifika mpaka msata kaka kwenye vipimo.. katika sehem unatakiwa umuombe mungu au kama una mbanga unatakiwa uisumbue ni pale kuna figisu nikajaza kuna fomu mtapewa mjaze sijui taalifa zenu binafsi nikajaza kuna taratibu nyingine mtaona nikafanya sasa kwenye vipimo nikafanya yakasomwa majina ya unfit langu likawepo oya wana walikua wanalia tulitemwa 250
Mkuu wanafanya Vipimo gani pale
Msata?
 
Nasikia Iveco inakuja na mizigo ya fimbo imejaa ndii. Yani unakula bakora za mgongo, kiuno shingo huku unaitwa shangazi
Wale wa majina kupishana kama la mwisho kuja Kati Kati kwenda mwishoni waandae kiapo cha mahakaman kbisa maan hawatakuvumilia ukatafute ndio urudi
Pale wanatafuta sababu ndogo apo hawakuambii wakiona tu majina yapo tofauti jina lako linakua kwenye unfit
 
Back
Top Bottom