Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Iko hivo...ndio kama Hawa walioapa mwez June mwanzon msata 300+ Ila sizan kama wataenda mapema sanaaa rtsKumbe
Pia kma jna degree yko bas ni mwaka mmja tu.Rts kwanza wakimaliza hua wanapelekwa mgulani karibia wote baada ya hapo wanafanya masaliano wengine wanapelekwa nje ya nchi wengine TMA kusoma na hua ni miaka mitatu na kuendelea
Ndio mkuu huwa sana sana wanaanza January kufungua koz...maan hata hawa anaosema weanafanyiwa usahili Bado hawajamaliz miez 3 mujib huko Jax hapo labd kama watu wakianza kuitwa rts wata wa include tu mambo yasiwe mengi ilaHapana nadhani wao ndo watatukuta tena tyr itakua ishapita six weeks maana hapo wao uhakika kuanza koz kwa nnavoujua hua ni January lkn sjui safari hii utaratibu utakuaje
Nina mwana aliend nje misri 3 months akarudi yuko tma now anamalizia, afu nina mwngne yeye yuko urusi mwaka wa 4 huu, na inabdi akae miak 6, hpa sijui huwa wanaangalia nini mkuu?Rts kwanza wakimaliza hua wanapelekwa mgulani karibia wote baada ya hapo wanafanya masaliano wengine wanapelekwa nje ya nchi wengine TMA kusoma na hua ni miaka mitatu na kuendelea
Ndio hao maafsaIko hivo...ndio kama Hawa walioapa mwez June mwanzon msata 300+ Ila sizan kama wataenda mapema sanaaa rts
Huyo nae kilaza kiwanja cha m7 mtaji kabisa huo,, unaenda kuhangaika na madoso .Ukaloge kwelikweli.. kuna mwanangu aliweka hadi kiwanja chake cha milion saba rehani kwa mbanga wampige push atoboe
Madoso unaona jambo dogo mkuu? Mbona iddy mhando wa humu jf alipmba nafas ya polis akaweka kiwanja? Umesahau?Huyo nae kilaza kiwanja cha m7 mtaji kabisa huo,, unaenda kuhangaika na madoso .
Waoga wa maisha.Madoso unaona jambo dogo mkuu? Mbona iddy mhando wa humu jf alipmba nafas ya polis akaweka kiwanja? Umesahau?
Unaturudisha kwa mungu sio? Mungu ma ubepari uiokomaa wapi na wapi?Waoga wa maisha.
Kingine maisha ukirudhika hata unakuwa hauna papara na mambo yatajipa tu kwa uwezo wa aliekuumba.
Kala lakheri chief.Unaturudisha kwa mungu sio? Mungu ma ubepari uiokomaa wapi na wapi?
Mbona uyu jamaa ni mfupi kwelikweli na baka kalivaaMm nina futi 4.7 tu hapa kama kipipa, sijapita jkt. Hapa nilipo hata maombi sijatuma, mbanga ninaye ila nina imani kubwa kuwa Sitoboi mana sikutamani kabisa. Niwatoe wasiwasi wazee wa lonja! Mana Padone EPM na Mjukuu wa taifa wanajua niko RTS mda huu nishatangulia kabisa
Kwa mm huyo bado mref sana. Mm nina Mita moja na nusu tu mkuuMbona uyu jamaa ni mfupi kwelikweli na baka kalivaaView attachment 3075556
Jeshi halina urefu izo ni figisu kupunguza watu kunae ofsa mmoja ni mfupi uyo mrefuMbona uyu jamaa ni mfupi kwelikweli na baka kalivaaView attachment 3075556
Mzee wa kukichafua huyu.. hapo alipo ananuka dhambiMbona uyu jamaa ni mfupi kwelikweli na baka kalivaaView attachment 3075556
[emoji23][emoji23]hii doja nakumbuka jkt ilikuwa ukikamatwa unapewa chakula kabla ya wenzio kifuatacho ni kula kazi kwenda mbele mwendo wa kukwepa ndege,vasco da gama,kubeba dunia mkiwa wengi mnapewa gogo mrukeruke nalo.Ndio ivyo yaani ukienda ww kuwa doja
[emoji23][emoji23]oya huo ulemavu sasaKwa mm huyo bado mref sana. Mm nina Mita moja na nusu tu mkuu
Me mwenyewe nina mwanang mmoja hivi short kwelikweli kavaa na mwakajana alipata nyota Tma.Jeshi halina urefu izo ni figisu kupunguza watu kunae ofsa mmoja ni mfupi uyo mrefu
[emoji2][emoji23]miyeyusho uyoMzee wa kukichafua huyu.. hapo alipo ananuka dhambi
Hawa wanafaa sana pale ngerengere kj92 mana ukifika pale kambi, Getini hakuna mtu utakayemuona hata mmoja lakin wapoHapana kwakweli Soja size hii, atashikaje M4A1, au M16?View attachment 3075566