Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

[emoji23][emoji23]hii doja nakumbuka jkt ilikuwa ukikamatwa unapewa chakula kabla ya wenzio kifuatacho ni kula kazi kwenda mbele mwendo wa kukwepa ndege,vasco da gama,kubeba dunia mkiwa wengi mnapewa gogo mrukeruke nalo.
Kukwepa ndege zoezi gumu ilo na kubinjuka noma sana iyo
 
Ila kuna watu wanakata tamaa mapema mtu ana age 27 anasema age goo.. intake X tulipiga na wadau wana 34 years na kwenye cheti haijabadilisha kitu ila walikubali wenyewe doso la maana vikwazo viliwanyonga sanaaa
Lakini pia wapo wanaochakachua umri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…