Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Ana uref gan mkuu mm nina 4.7 hapa nimepambana niongezeke kwa mazoez nimeishia kutembelea ukucha tuMe mwenyewe nina mwanang mmoja hivi short kwelikweli kavaa na mwakajana alipata nyota Tma.
Nchi4.7 au futi 4.7? 🤣🤣🤣🤣Ana uref gan mkuu mm nina 4.7 hapa nimepambana niongezeke kwa mazoez nimeishia kutembelea ukucha tu
Kukwepa ndege zoezi gumu ilo na kubinjuka noma sana iyo[emoji23][emoji23]hii doja nakumbuka jkt ilikuwa ukikamatwa unapewa chakula kabla ya wenzio kifuatacho ni kula kazi kwenda mbele mwendo wa kukwepa ndege,vasco da gama,kubeba dunia mkiwa wengi mnapewa gogo mrukeruke nalo.
Urefu sio kigezoMe mwenyewe nina mwanang mmoja hivi short kwelikweli kavaa na mwakajana alipata nyota Tma.
Anaweza kukaribiana na uyo jamaa apo juuAna uref gan mkuu mm nina 4.7 hapa nimepambana niongezeke kwa mazoez nimeishia kutembelea ukucha tu
Kweli asee ila kama wakitaka kukuchomoa ndo wanatumia kigezo ikoUrefu sio kigezo
Hizo futi mkuu yani niko kama kapipa hapa nawaza kichiz yan ingawa kuna mzee Aliwah kuwepo huko ni mfupi zaid yanguNchi4.7 au futi 4.7? 🤣🤣🤣🤣
We jamaa acha utaniHizo futi mkuu yani niko kama kapipa hapa nawaza kichiz yan ingawa kuna mzee Aliwah kuwepo huko ni mfupi zaid yangu
Unavaa Size ngapi Kiatu?Hizo futi mkuu yani niko kama kapipa hapa nawaza kichiz yan ingawa kuna mzee Aliwah kuwepo huko ni mfupi zaid
Mbona miaka 34 anapiga kozi kilaini tuIla kuna watu wanakata tamaa mapema mtu ana age 27 anasema age goo.. intake X tulipiga na wadau wana 34 years na kwenye cheti haijabadilisha kitu ila walikubali wenyewe doso la maana vikwazo viliwanyonga sanaaa
Kwa mantiki hyo mbanga ndo jambo la muhimu mno.Ila kuna watu wanakata tamaa mapema mtu ana age 27 anasema age goo.. intake X tulipiga na wadau wana 34 years na kwenye cheti haijabadilisha kitu ila walikubali wenyewe doso la maana vikwazo viliwanyonga sanaaa
Kwa mantiki hyo mbanga ndo jambo la muhimu mno.
Muhimu mnoo.. Mbanga yaan hivi vigezo ni kwaajili ya wengine tu..Kwa mantiki hyo mbanga ndo jambo la muhimu mno.
Lakini pia wapo wanaochakachua umriIla kuna watu wanakata tamaa mapema mtu ana age 27 anasema age goo.. intake X tulipiga na wadau wana 34 years na kwenye cheti haijabadilisha kitu ila walikubali wenyewe doso la maana vikwazo viliwanyonga sanaaa
Kecha miaka ila jiandae kufanya kazi mpaka macho yanafumbaKwa mantiki hyo mbanga ndo jambo la muhimu mno.
Mi bado mdogo sana kakaa🤣Pia unaweza che
Kecha miaka ila jiandae kufanya kazi mpaka macho yanafumba
Miaka mingapiMi bado mdogo sana kakaa🤣
22Miaka mingapi