Insider Boy
Senior Member
- Aug 5, 2015
- 189
- 309
Mkuu Black Codes Cracker tupe lonjaWakuu mbanga imenambia tutegemee wiki inayoanza kesho majina kuitwa sasa sijui inanipanga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Black Codes Cracker tupe lonjaWakuu mbanga imenambia tutegemee wiki inayoanza kesho majina kuitwa sasa sijui inanipanga tu
Inaweza kuwa ngoja tuone ila kuna mkufunzi yupo RTS aliniambia inatizamiwa kwanzia tareh moja,,, ngoja nikipatq wasaa wakumchek nitawasilisha mtizamo wakeWakuu mbanga imenambia tutegemee wiki inayoanza kesho majina kuitwa sasa sijui inanipanga tu
Kwa taarifa nilizonazo ni kama za huyo mwamba hapo juu..Mkuu Black Codes Cracker tupe lonja
Sawa mkuuTupo live mkuu, ngoja tusubiri..
Ngoja tuone itakuaje mkuuInaweza kuwa ngoja tuone ila kuna mkufunzi yupo RTS aliniambia inatizamiwa kwanzia tareh moja,,, ngoja nikipatq wasaa wakumchek nitawasilisha mtizamo wake
Shukrani sana mkuu.. tuendelee kupeana update huku tukimuomba Mungu na sisi wa mtaani tukumbukweKwa taarifa nilizonazo ni kama za huyo mwamba hapo juu..
Maana nimeambiwa kozi itaanza katikati ya mwezi wa saba au mwezi wa nane. Ila kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa saba, wadau watakuwa kwenye UZALENDO..
Maana yake hapo, ndani ya wiki hii inayoanza kesho, ambayo ndo wiki ya mwisho ya mwezi wa sita, watu wataanza kupanda RTS ili mwezi wa saba wakawe wazalendo
Ngoja wajuvi wajeWakuu, kimya kingi…
Mbanga anatulamba Bluetick lazima tuwe wapole masta.Wakuu, kimya kingi…
Sahivi mambanga wanasema tuombe Mungu lolote linaweza kutokea wakati kabla ya kupokea mpunga walisema uhakika 😅Mbanga anatulamba Bluetick lazima tuwe wapole masta.
Ni blue tick Tu😂Mbanga anatulamba Bluetick lazima tuwe wapole masta.
Oyaa sio poa masta, [emoji28]Sahivi mambanga wanasema tuombe Mungu lolote linaweza kutokea wakati kabla ya kupokea mpunga walisema uhakika [emoji28]
Kaka acha tuu, na huwezi uka double text inabidi uwe mpole tuNi blue tick Tu[emoji23]
Noma mkuu, kwahiyo wahuni washalamba mpunga…!😳Sahivi mambanga wanasema tuombe Mungu lolote linaweza kutokea wakati kabla ya kupokea mpunga walisema uhakika 😅
Hii inaitwa, ‘usitume text juu ya text isiyojibiwa’ 😅Kaka acha tuu, na huwezi uka double text inabidi uwe mpole tu
Naam masta, inabidi kuwa mpole tu huku dua zikiwa nyingiHii inaitwa, ‘usitume text juu ya text isiyojibiwa’ [emoji28]
Bro ni kweli kbs ila Nina amini ikigonga July tu mkimbizano utaanzaHii wiki ndo nlitegemea lonja ztakua za kumwaga lkn ni kunyume chake😬😬