Nmecheka sana
Kimya kimetawala humu au wanangu mshatimba kmy kmy
😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimya kimetawala humu au wanangu mshatimba kmy kmy
😂😂
UNaogopa kuwaambia kuwa ngoma ni mwezu wa tisa 😀😀Tuna ogopa comment apa ovyo Kuna taifa linafatilia hizi mambo usije potosha watu wakawa vichaa😂😂😂
Ya ndani kabisa hii😂U
UNaogopa kuwaambia kuwa ngoma ni mwezu wa tisa 😀😀
Mwezi wa 9 kuitwa au kuanza kozU
UNaogopa kuwaambia kuwa ngoma ni mwezu wa tisa 😀😀
Itakua kuanza labd mkuuMwezi wa 9 kuitwa au kuanza koz
Muhimu ni mwezi wa kuitwa tutoke mtaani mwez wa kuanza tutajua huko hukoItakua kuanza labd mkuu
Weacha tu ndugu Kuna wengine tangia mwakajana mwezi wa 3 kmmke tunapigwa kalenda tu mpaka leo hii. Bora tu kushika mambo mengine kmmke maisha sio huko tu.Mwezi wa 9, mara utasikia muda huu JKT ndo wameanza kozi, labda mwezi wa 11..
Mara, oya kozi mwezi wa 2 😅…
Mamamamaamaeee… haya mambo haya 😅
Yaaan niwaambie ukweli ronja ni wa 9 kozi haifahamiki itaanza lini?? Ila kuitwa wa 9Weacha tu ndugu Kuna wengine tangia mwakajana mwezi wa 3 kmmke tunapigwa kalenda tu mpaka leo hii. Bora tu kushika mambo mengine kmmke maisha sio huko tu.
Tuvumilie tu.U
UNaogopa kuwaambia kuwa ngoma ni mwezu wa tisa 😀😀
Daah...hii ni lonja ya ukweli?Yaaan niwaambie ukweli ronja ni wa 9 kozi haifahamiki itaanza lini?? Ila kuitwa wa 9
Kwanini wanywe maji na tulio hatuna tupate kinywaji gani?SEPTEMBER
Wenye mibanga kunyweni majiiii
Endelea na life tuWeacha tu ndugu Kuna wengine tangia mwakajana mwezi wa 3 kmmke tunapigwa kalenda tu mpaka leo hii. Bora tu kushika mambo mengine kmmke maisha sio huko tu.
Mwezi wa 8 kozi kuanza au kuitwa?Niliwahi kusema humu, kama hatopiga aziwea kama kawaida yao, basi kozi ni mwezi wa 8…
Tatizo la mTiPiDii AZIWEA ni nyingi sanaaaaa
Au hata wa tisaNiliwahi kusema humu, kama hatopiga aziwea kama kawaida yao, basi kozi ni mwezi wa 8…
Tatizo la mTiPiDii AZIWEA ni nyingi sanaaaaa
Au hamna kabisa kozi😎Au hata wa tisa