Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Habari gani tena zenye uhakika mkuu??... Kwani ndio mwanzo wa kusubili simu jamaa inaweza kuwa ametoa dukuduku lake pengine amehusisha na mwaka jana watu wanangoja simu toka 2023 hadi leo 2024 ziite zinaishia kuita za young lunya lunya tu
Umechagua upande wa negativity? Wa mwaka jana wa mwaka jana mwaka huu kuna wachawi wapya wanawanga balaa. Taarifa zilizopo mbanga wamewqtoa watoto zao mikoani wamewasogeza morogoro pale msamvu

Ingawa kuna nauli nimetumiwa na mbanga kanambia nikate tiketi ya arusha wikendi hii
 
Back
Top Bottom