Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
2035 kuelekea 2040
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe ukweliso kweli
Toka yalivyotumwa maombi ni mwez wa 2 ko bhad unategemea kuitwa.....note ila kama mbaga yako ni maji marefu ngoja madog wa bms ila kama maji mafupi tusubil next annocemet✍️✍️aya sawa ila husidanganye umma
ndugu yangu usilolijua ni sawa na usiku wa giza….uyo unaemshauri nafikiri yeye ndo ilipaswa akushauriToka yalivyotumwa maombi ni mwez wa 2 ko bhad unategemea kuitwa.....note ila kama mbaga yako ni maji marefu ngoja madog wa bms ila kama maji mafupi tusubil next annocemet✍️✍️
Anamshauri GagutiMmh
ndugu yangu usilolijua ni sawa na usiku wa giza….uyo unaemshauri nafikiri yeye ndo ilipaswa akushauri
Sasa usaili ushaisha now watu wapo kozi✍️✍️✍️✍️Anamshauri Gaguti
kozi bado haijaanza ila usaili tayariSasa usaili ushaisha now watu wapo kozi✍️✍️✍️✍️
TPDF au jkt?Naomba kuuliza Kuna jiran yangu alikua jeshi mwaka mmoja wiki hii wamerud anasema et kaajiriwa tayar kapangiwa sehem ya kaz je Kuna ukwel kwamba walioingia mwaka Jana wameshaajiriwa??
Hapo ndo sielewi ila yupo jeshini wanavaa kijan mabakaTPDF au jkt?
Inategemea utakuta kachaguliwa majeshi mengine kama uhamiaji kuna Tanapa au misituHapo ndo sielewi ila yupo jeshini wanavaa kijan mabaka
Umefikia wapi mkuu.Mbanga wako niwakisenge kama anakuahidi we nenda tu kalime
Huyu jamaa ashazama chomboni siku nyingiiKaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote zinatakiwa kuajiri
Daah we jamaa😄😄Si uhakika tu.. mm mkuu hadi kituo cha kazi nishachagua. Na mwakan naenda kozi Netherland itataka watu 120 tu n mm nimo
Vp vijana wa kujitolea washanza kuingia kambiniii?
Wameshalipoti vikosiniVp vijana wa kujitolea washanza kuingia kambiniii?
Mkuu watu wanapiga six week wewe bado umekalili usahilivp msata koz imeshaanza au bado wapo na usahili
nmeona kuna mdau hapo juu anasema usahil tayar ila kozi badoMkuu watu wanapiga six week wewe bado umekalili usahili