Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekwambia kidato cha sita hamna CV ni nan??Ndo nashangaa
Ofisini wapi mkuu?😃wale tulio kubalina kufika ofisin tafadhali muzingatie muda tusijekupeana lawama hapo badae
😄😄 Aya mnaitwa ofisiniwale tulio kubalina kufika ofisin tafadhali muzingatie muda tusijekupeana lawama hapo badae
Watakua wakujitolea😎Wakuu Mambo vipi naomba kuuliza, kwa mwenye taarifa Makutupora saivi kuna jamaa kaambiwa akareport (Baba kantuma) , je ni wale wa Jax kujitolea au kuna bogi la kimya kimya linakuja? la msata
Unauhakika?Watakua wakujitolea😎
Kwahyo kuna bogi la kimya kimya ili watu wasijue, ukija kushtuka watu wanaapa…..Daah hii nchii hiii🤣🤣Wakuu Mambo vipi naomba kuuliza, kwa mwenye taarifa Makutupora saivi kuna jamaa kaambiwa akareport (Baba kantuma) , je ni wale wa Jax kujitolea au kuna bogi la kimya kimya linakuja? la msata
Ndio now usahili unafanyika uko sio ruvu tenaUnauhakika?
Bog kma lipo ila sizani kama hivi karibuniKwahyo kuna bogi la kimya kimya ili watu wasijue, ukija kushtuka watu wanaapa…..Daah hii nchii hiii🤣🤣
hakunaBog kma lipo ila sizani kama hivi karibuni
Una uwakika?hakuna
Sawa sawa, asante mkuu.Watakua wakujitolea[emoji41]
Huenda ni hivo mkuuKwahyo kuna bogi la kimya kimya ili watu wasijue, ukija kushtuka watu wanaapa…..Daah hii nchii hiii[emoji1787][emoji1787]
Huyo anaenda kujitoleaa...usaili makutupora uliopo ni wa jax tuu usidanganywe mzee😀Kwahyo kuna bogi la kimya kimya ili watu wasijue, ukija kushtuka watu wanaapa…..Daah hii nchii hiii🤣🤣