Ni lini Lissu aliongoza mapambano dhidi ya rushwa?

Ni lini Lissu aliongoza mapambano dhidi ya rushwa?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninaomba kwa wafuatiliaji wa mambo watuwekee hapa rekodi ya matukio ya mgombea wetu Tundu Lissu akiongoza vita dhidi ya rushwa na wala rushwa hapa nchini iwe ni ndani ya chama chake au Serikalini.

Lengo ni kutaka kutuondoa wasiwasi sisi wapiga kura kwamba tunampigia kura mtu sahihi ambae ana uzoefu wa kutosha sana juu ya adui mbaya sana rushwa.
 
Magufuli anahonga na kutoa rushwa hadi kwenye kampeni humuoni?

i. Wasanii kiasi kile ni Rushwa.
ii. Kugawa hela kwenye mikutano ni rushwa.
iii. Maroli na matrekta yanayobeba watu ni rushwa.
Iv. Ujenzi wa barabara ni Rushwa

CCM Hakuna hata mgombea ubunge mmoja Ambaye hakutoa rushwa iwe kwenye kura za maoni, hadi sasa kwenye ubunge. Narudia tena hakuna hata mmoja ambaye hakutoa Rushwa.

Watu wengi boda boda mama lishe walevi nk wanajipigia tu mahela ya CCM Kofia, tshirt nk.

Jiwe hajaweza kabisa kupambana na Rushwa tuache uongo anasupport sana Rushwa.
 
..Hili ni andiko la Tundu Lissu mwenyewe.

..Ni mpinga dhuluma tangu miaka ya 90.



IN FULL SPIRIT OF PATRIOTISM

I'm what I'm and always have been. A militant and uncompromising crusader for rights, justice and truth.

I've always stood on the side of the people against the abusers of power.

Twenty years ago, in '97, I stood on the side of the Rufiji Delta communities when Mkapa and his cronies in government wanted to sell the Rufiji Delta to Reginald Nolan, the Irish investor and arms dealer of the 80s.

Where was your Magufuli if I may ask???

He's serving in the Mkapa government that wanted to give the Rufiji Delta to Nolan.

From '99 on I took up the fight against the Mkapa government and its mining policies and its human rights abuses on behalf of the foreign mining companies you now call thieves.

Who stood by the Bulyanhulu community to demand justice and truth for the massacre of the artisanal miners there in '96???

Or for the forced evictions of the artisans and peasant communities in Lusu, Nzega; Nyamongo, Tarime and Geita???

I did, Magufuli served in the government that was terrorizing the communities in those, and many other, areas.

Who's the first person to raise the clarion call that mining companies were robbing us clean???

I did. Magufuli served in the government that was helping those companies to rob us clean.

And who, between me and your Magufuli, was the faithful servant of Kikwete at the time of Tegeta Escrow and many other such robberies of our national treasury???

Where was Magufuli when our people were being killed and brutalized during Operesheni Tokomeza and Operesheni Kimbunga???

I, and a few other courageous people, stood up and took positions on the side of our people.

I don't remember Magufuli taking any position that would have harmed his ministerial position.

He kept silent when patriotism demanded he speak out.

Those of us who stood up and were counted are now being denounced as unpatriotic simply for catching the emperor with his dirty pants down.

We're now being hunted down and jailed like common criminals, while the real criminals are being feted as patriots.

We'll not be intimidated.

We'll not be silenced.

We'll take whatever blows rained on us like the men we're.

We shall overcome.
 
Nikumbushe vizuri plz

Kabla ya Rais Magufuli kuwa Rais ni lini aliongoza mapambano dhidi ya Rushwa ndani Chama na Tanzania kwa ujumla hata Bungeni pia? Usiweke kumbukumbu zozote akiwa Rais tafadhali.
 
Magufuli anahonga na kutoa rushwa hadi kwenye kampeni humuoni?
i. Wasanii kiasi kile ni Rushwa.
ii.Kugawa hela kwenye mikutano ni rushwa....
Akili huwa mnaipeleka wapi hususani likifika Suala la siasa na kiongozi bora.
 
JPM miaka 20 akiwa waziri alikuwa anakula bata tu na mafisadi ccm, Leo anajifanya eti mpinga ufisadi
 
Back
Top Bottom