Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,428
- 3,937
Sekeseke la kisiasa limeanza kuibuka tena baada ya mikutano ya kisiasa ya hadhara kuruhusiwa. Moja ya mambo ambayo hayaepukiki katika siasa na ambayo ni mbinu nzuri ya uhamasishaji ni maandamano ya amani.
Ukiacha yale maandamano yanayoibukaga tu baada ya mkutano wa hadhara hasa kipindi cha uchaguzi ambayo mingi huwa inaishia kupigwa mabomu ya machozi, hivi kuna siku chama cha upinzani kiliwahi kutoa taarifa mapema ya kuandaa maandamano, halafu vyombo vya dola vikawapa ushirikiano?
Ningependa kujua.
Ukiacha yale maandamano yanayoibukaga tu baada ya mkutano wa hadhara hasa kipindi cha uchaguzi ambayo mingi huwa inaishia kupigwa mabomu ya machozi, hivi kuna siku chama cha upinzani kiliwahi kutoa taarifa mapema ya kuandaa maandamano, halafu vyombo vya dola vikawapa ushirikiano?
Ningependa kujua.