Ni lini serikali itaanzisha masomo ya uchawi mashuleni?

Umeongea point waje wafundishe jinsi ya kupaa na ungo
 
Mbona wameshakuja na mtaala mpya uitwao "Islamic Knowledge"? Watu sasa hivi tutaanza kusomeana albadiri mashuleni na tushindwe kusoma vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…