Ni lini serikali itaweka Rami barabara ya Mlowo kwenda Kamsamba eneo lenye uchumi mzuri

Ni lini serikali itaweka Rami barabara ya Mlowo kwenda Kamsamba eneo lenye uchumi mzuri

JET SALLI

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
2,392
Reaction score
1,578
Ninaamini viongozi wengi mnapita humu Jamii Forums, naamini hata mbunge wa eneo hili la Mbozi anasoma humu. Nimepita barabara hii wiki iliyopita na kufanya utafiti na nikagundua kwamba barabara hii iko busy muda wote, ila haijatendewa haki, na sijasikia mbunge wa eneo hili akiizungumzia. Barabara hii inasafirisha mazao mengi ya biashara kama vile kahawa, mahindi, karanga, na mpunga.

Nimeona mazao haya yakisafirishwa kwenye barabara hii, lakini vumbi lililopo kwenye barabara hii ni tatizo kubwa. Barabara hii ina mchango mkubwa katika uchumi, na sielewi kwa nini mbunge anakaa bungeni na kushangilia mambo ya kijinga tu, huku akisahau barabara hii ambayo ni muhimu sana. Mbunge anapaswa kuizungumzia na kupiga kelele ili serikali yake ya CCM imsikie.

Nimeuliza watu wanasema mbunge hafiki kabisa maeneo hayo, sasa unajiuliza, je, hawa wabunge tulionao wanajua wajibu wao? Watu wa serikali ya CCM, tembeleeni barabara hii mjionee jinsi ilivyo busy na jinsi mazao yanavyosafirishwa, mtajifunza kitu.
 
Ninaamini viongozi wengi mnapita humu Jamii Forums, naamini hata mbunge wa eneo hili la Mbozi anasoma humu. Nimepita barabara hii wiki iliyopita na kufanya utafiti na nikagundua kwamba barabara hii iko busy muda wote, ila haijatendewa haki, na sijasikia mbunge wa eneo hili akiizungumzia. Barabara hii inasafirisha mazao mengi ya biashara kama vile kahawa, mahindi, karanga, na mpunga.

Nimeona mazao haya yakisafirishwa kwenye barabara hii, lakini vumbi lililopo kwenye barabara hii ni tatizo kubwa. Barabara hii ina mchango mkubwa katika uchumi, na sielewi kwa nini mbunge anakaa bungeni na kushangilia mambo ya kijinga tu, huku akisahau barabara hii ambayo ni muhimu sana. Mbunge anapaswa kuizungumzia na kupiga kelele ili serikali yake ya CCM imsikie.

Nimeuliza watu wanasema mbunge hafiki kabisa maeneo hayo, sasa unajiuliza, je, hawa wabunge tulionao wanajua wajibu wao? Watu wa serikali ya CCM, tembeleeni barabara hii mjionee jinsi ilivyo busy na jinsi mazao yanavyosafirishwa, mtajifunza kitu.
Unfortunately Ina Mpango ambao hata haieleweki lini ujenzi utaanza ..

Probably kuanzia 2025/26 huko, sikiliza hii video hapa 👇
 
Ninaamini viongozi wengi mnapita humu Jamii Forums, naamini hata mbunge wa eneo hili la Mbozi anasoma humu. Nimepita barabara hii wiki iliyopita na kufanya utafiti na nikagundua kwamba barabara hii iko busy muda wote, ila haijatendewa haki, na sijasikia mbunge wa eneo hili akiizungumzia. Barabara hii inasafirisha mazao mengi ya biashara kama vile kahawa, mahindi, karanga, na mpunga.

Nimeona mazao haya yakisafirishwa kwenye barabara hii, lakini vumbi lililopo kwenye barabara hii ni tatizo kubwa. Barabara hii ina mchango mkubwa katika uchumi, na sielewi kwa nini mbunge anakaa bungeni na kushangilia mambo ya kijinga tu, huku akisahau barabara hii ambayo ni muhimu sana. Mbunge anapaswa kuizungumzia na kupiga kelele ili serikali yake ya CCM imsikie.

Nimeuliza watu wanasema mbunge hafiki kabisa maeneo hayo, sasa unajiuliza, je, hawa wabunge tulionao wanajua wajibu wao? Watu wa serikali ya CCM, tembeleeni barabara hii mjionee jinsi ilivyo busy na jinsi mazao yanavyosafirishwa, mtajifunza kitu.
Wamejenga daraja pale Kamsamba/Kilyamatundu na maingilio ya lami

Aidha ujenzi umeanza upande wa Rukwa
 
Ninaamini viongozi wengi mnapita humu Jamii Forums, naamini hata mbunge wa eneo hili la Mbozi anasoma humu. Nimepita barabara hii wiki iliyopita na kufanya utafiti na nikagundua kwamba barabara hii iko busy muda wote, ila haijatendewa haki, na sijasikia mbunge wa eneo hili akiizungumzia. Barabara hii inasafirisha mazao mengi ya biashara kama vile kahawa, mahindi, karanga, na mpunga.

Nimeona mazao haya yakisafirishwa kwenye barabara hii, lakini vumbi lililopo kwenye barabara hii ni tatizo kubwa. Barabara hii ina mchango mkubwa katika uchumi, na sielewi kwa nini mbunge anakaa bungeni na kushangilia mambo ya kijinga tu, huku akisahau barabara hii ambayo ni muhimu sana. Mbunge anapaswa kuizungumzia na kupiga kelele ili serikali yake ya CCM imsikie.

Nimeuliza watu wanasema mbunge hafiki kabisa maeneo hayo, sasa unajiuliza, je, hawa wabunge tulionao wanajua wajibu wao? Watu wa serikali ya CCM, tembeleeni barabara hii mjionee jinsi ilivyo busy na jinsi mazao yanavyosafirishwa, mtajifunza kitu.
Zamani ndio walikua wanaweka"Rami" siku hizi wanaweka "Lami"
 
Back
Top Bottom