Ni lini tutaacha Kumsimanga Hayati Magufuli na kumuonesha kuwa hakuwa Rais mpenda Watanzania?

Ni lini tutaacha Kumsimanga Hayati Magufuli na kumuonesha kuwa hakuwa Rais mpenda Watanzania?

"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
Ukiona wanajitahidu kumchafua sana maana yake alikuwa amewazidi sana. Hakika Mwendazake (JPM) hakuwa malaika ila katika ubinadamu wake alijitahidi kuishi nje ya maigizo. Alipochukia tuliona na alipofurahi tuliona.
................................................
Kama walishindwa kupambana kimwili, kiroho ni hatari zaidi. Kwa sasa ni tunaosema na mwendazake tupo katika mawanda tofauti "different dimensions or realms".
 
"Tumeamua kurudisha ule utaratibu wa Kupandisha Mishahara ya Wafanyakazi kila Mwezi pamoja na Madaraja uliokuwepo miaka mingi ya nyuma" Rais Samia katika Kilele cha Mei Mosi leo Mkoani Morogoro.

Chanzo: Mitandao ya Tanzania

Ushauri wa bure ambao GENTAMYCINE leo nautoa kwa WANAFIKI Wote nchini Tanzania ( Bara na Visiwani ) ni kwamba acheni kupoteza muda Wenu Kumchongea Hayati Magufuli kwa Watanzania ili Kujiimarisha Madarakani na kutaka Watanzania wawaone mnafaa, mnaweza na mnapendwa wakati kumbe wengine tuko na Jamii 24/4 na mnachukiwa kuliko hata vile Shetani Mkuu Lucifer anavyochukiwa.

Kwetu Sisi ( hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ) Hayati Magufuli ( pamoja na kwamba Kibinadamu nae alikuwa na Mapungufu yake ) ila ataendelea kuwa ni Rais wa Kukumbukwa hasa kwa Mambo makubwa aliyoyafanya kwa Tanzania na Watanzania kwa Miaka yake Sita ( 6 ) tu aliyoihudumu.

Halafu Siku zingine msiwe mnazunguka sana Kimaelezo na mngeenda tu moja kwa moja na kusema tumeamua Kurudisha utaratibu wa Kupandisha Mishahara Wafanyakazi kama uliokuwepo Kipindi cha Rais Mstaafu Kikwete ( ambaye ndiyo mnachukua 99% ya Ushauri wake ) wenye Akili Kubwa tungewaelewa hivi mnavyozuga na Kuzunguka kunakotufanya tuzudi tu Kuwadharau na Kuwasanifuni.

Hovyoooooooo......!!!!!!
Mpaka utakapomleta ajibu shutuma.
 
Kwakweli nchi hii , imepitia na itapitia kila aina ya kiongozi, lkn kwangu mm mpaka sasa Marehemu BENJAMIN WILIAM MKAPA na Marehemu JOHN JOSEPH POMBE MAGHUFULI kwenye upande wa WAFANYAKAZI !! Mwenyezi Mungu Mwenye Enzi AWAREHEMU .

RAHA YA MILELE UWAPE EEEH BWANA WAPUMZIKE KWA AMANI. MWANGA WA MILELE UWAANGAZIE.

Marehemu BENJAMIN WILLIAM MKAPA alipoingia madarakani, kwanza aliongeza muda wa kustaafu utumishi kutoka miaka 55 mpaka 60.

Pia ndiye aliyeinua Viinua mgongo vya utumishi kwa kuanzisha mifuko ya hifadhi ya jamii na kuwajumuisha watumishi wa serikali. Hapo ikasaidia walau wale watumishi wa serikali waliokuwa wakiambulia pension ndogo kutokana na mishahara yao serikalini kuwa kidogo kujikuta wanapata fedha za kutosha hii kwako MAREHEMU MKAPA ulitoa SADAKA SAFI. pumzika kwa amani.

TAABU ikaanza kipindi cha MAREHEMU JOHN JOSEPH POMBE MAGHUFULI ikazungumzwa habari ya KIKOKOTOO kidogo kifanye kazi lkn akasikia kilio cha wafanyakazi AKAZUIA Neema kwa wafanyakazi ikaendelea Marehemu pumzika kwa amani kwa SADAKA YAKO.
 
Back
Top Bottom