Mimi kama mwanasimba halisi. Nilivyoona simba yangu msimu uliopita ikifanya vizuri na usajili iliofanya mwaka huu nikajua tutakua mabingwa wa Africa.
Kwa bahati mbaya ud songo wamakonde wakatutoa round ya kwanza. Basi nililia sana bado hasira haziishi yanga alifungwa na jkt ruvu nikashangilia hazikuisha nimemfunga mtibwa bado . Jana nikajua yanga atapigwa 3-0 au 5-0 kama sisi tulivyofungwa na as vita na al haly. Matokeo yake zesco akadraw . Nilinunua na jezi ya zesco bado Nina hasira je lini zitaisha.
Kibaya yanga akitolewa na zesco anenda shirikisho. Mimi simba ntabaki kucheza tu na ndanda mwadui na namungo ya lindi.
Kwa bahati mbaya ud songo wamakonde wakatutoa round ya kwanza. Basi nililia sana bado hasira haziishi yanga alifungwa na jkt ruvu nikashangilia hazikuisha nimemfunga mtibwa bado . Jana nikajua yanga atapigwa 3-0 au 5-0 kama sisi tulivyofungwa na as vita na al haly. Matokeo yake zesco akadraw . Nilinunua na jezi ya zesco bado Nina hasira je lini zitaisha.
Kibaya yanga akitolewa na zesco anenda shirikisho. Mimi simba ntabaki kucheza tu na ndanda mwadui na namungo ya lindi.