Ni lini viongozi wetu watakuwa na huruma na sisi?

Ni lini viongozi wetu watakuwa na huruma na sisi?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kwa sauti ya unyenyekevu kabisa niiombe serikali iwe na huruma kwa wananchi wake.

Nia ya kuanzishwa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii pamoja na bima ya afya ya taifa ni njema. Ila kinachoendelea sasa ni kwamba haya mambo yamekuwa kama laana, masikitiko kwa wanachama wake.

Nimeshuhudia watu wakikosa huduma hospitalini na huku mkononi ana kadi ya bima ya NHIF.

Nimeshuhudia watu wakidai mafao yao hadi wanakata tamaa.

Sheria za mifuko ya hifadhi ya jamii zimetungwa maksudi kabisa kuwaumiza wanachama.

Mbaya zaidi ni kwamba wanaonufaika na michango hiyo wala wao sio wachangiaji.

Kwa nini watanzania wachache wameamua kutukomoa sisi wengi?

Tunaomba muwe na huruma.
 
Wakati fulani wananchi tujifunze kuidai haki yetu kwa nguvu, badala ya kuiomba kwa watawala! Tena tukiwa tumeweka mikono nyuma! Eti kwa sauti ya unyenyekevu, watuonee huruma!!
 
Unazumziaa viongozi gan hawa hawa wa CCM au??
 
Kwa sauti ya unyenyekevu kabisa niiombe serikali iwe na huruma kwa wananchi wake.

Nia ya kuanzishwa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii pamoja na bima ya afya ya taifa ni njema. Ila kinachoendelea sasa ni kwamba haya mambo yamekuwa kama laana, masikitiko kwa wanachama wake.

Nimeshuhudia watu wakikosa huduma hospitalini na huku mkononi ana kadi ya bima ya NHIF.

Nimeshuhudia watu wakidai mafao yao hadi wanakata tamaa.

Sheria za mifuko ya hifadhi ya jamii zimetungwa maksudi kabisa kuwaumiza wanachama.

Mbaya zaidi ni kwamba wanaonufaika na michango hiyo wala wao sio wachangiaji.

Kwa nini watanzania wachache wameamua kutukomoa sisi wengi?

Tunaomba muwe na huruma.
Wanajua wapo madarakani kwa wizi, hawawezi kuwa na huruma, CCM ni mafia family! Kila, MTU ni mwizi, hakuna mwana CCM yoyote ambaye hajafanya ufisadi, ukitoa Nyerere tu, wengine wore wezi, wajukuu wa warioba kama hawapo bot, basi ni wizara ya Mambo ya nje! Tote ni majizi, dawa Yao ni mapinduzi tu
 
Wakati fulani wananchi tujifunze kuidai haki yetu kwa nguvu, badala ya kuiomba kwa watawala! Tena tukiwa tumeweka mikono nyuma! Eti kwa sauti ya unyenyekevu, watuonee huruma!!
Najua nguvu iliopo kwenye unyenyekevu.
 
Kwa sauti ya unyenyekevu kabisa niiombe serikali iwe na huruma kwa wananchi wake.

Nia ya kuanzishwa kwa mifuko ya hifadhi ya jamii pamoja na bima ya afya ya taifa ni njema. Ila kinachoendelea sasa ni kwamba haya mambo yamekuwa kama laana, masikitiko kwa wanachama wake.

Nimeshuhudia watu wakikosa huduma hospitalini na huku mkononi ana kadi ya bima ya NHIF.

Nimeshuhudia watu wakidai mafao yao hadi wanakata tamaa.

Sheria za mifuko ya hifadhi ya jamii zimetungwa maksudi kabisa kuwaumiza wanachama.

Mbaya zaidi ni kwamba wanaonufaika na michango hiyo wala wao sio wachangiaji.

Kwa nini watanzania wachache wameamua kutukomoa sisi wengi?

Tunaomba muwe na huruma.
Huruma sio rahisi, Bali wanatakiwa watuogope, machafuko ndio njia pekee.
 
Ni Culture ya kupiga Dili nani wakutuhurumia?
 
Back
Top Bottom