Naunga mkono hoja.
Now,
Sky Eclat , pretend you are a foreigner. And you want to apply for an undergraduate degree in a Tanzanian university. Does the university application portal accommodate you?
Sisi wa vyuo, hasa vya umma, na wadhibiti wetu, hilo unalolisema liko chini sana miongoni mwa vipaumbele vyetu.
Miaka fulani nilienda Naijeria. Katika mazungumzo baada ya habari, jamaa wakaniambia kuhusu kozi fulani inayotolewa hapa Tanzania, ambayo kule Naijeria, waombaji ni wengi kuliko nafasi zilizoko, na kwamba, sisi tukifanya promo kidogo tu, tutavutia baadhi ya hao kuja kusoma Tanzania.
Niliporudi TZ, jitihada za kushawishi chuo husika, hazikuweza kuzaa matunda yoyote, kwani zilikuwa brushed aside, na business went as usual.
Safari bado ndefu.