Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lako lilitakiwa liishie tu hapo kwenye miezi! Hayo masuala ya madai ni ya kwako binafsi.Naomba kujua ivi watumishi wenye sifa ya kupanda madaraja mishahara mipya wanaanza kuiona mwezi huu wa sita au wa Saba mana kuna mtu namdai hela nyingi ataki kunambia ukweli
Kuwa mkweli. Ni wewe unauliza kijanja.Naomba kujua ivi watumishi wenye sifa ya kupanda madaraja mishahara mipya wanaanza kuiona mwezi huu wa sita au wa Saba mana kuna mtu namdai hela nyingi ataki kunambia ukweli.
Inatakiwa mtu akipokea tu barua soon mshahara ubadilike, ila sasa hata haifanywi hivo, na haina muda maalumu mshahara unaweza fata baada ya miezi mitatu, nne, tano, sita n.kNaomba kujua ivi watumishi wenye sifa ya kupanda madaraja mishahara mipya wanaanza kuiona mwezi huu wa sita au wa Saba mana kuna mtu namdai hela nyingi ataki kunambia ukweli
Bajet inakataaa watachukua ajira mpya 2014 ,2015 vumilieni jamani najua hali ni mbaya sana jiwe aliwatesa sanaMbona niliona wizara ya mambo ya ndani ikideal na watumishi wao...sijajua taasisi nyingine
Ila usihofu mambo mazuri yanakuja
Tobaaaaaa!!!!una halaka sana braza ndio kwanz tupo kwnwyw lecaterigoziration ili tujue kama uliperform target na vision
Source ya hii taarifa?Bajet inakataaa watachukua ajira mpya 2014 ,2015 vumilieni jamani najua hali ni mbaya sana jiwe aliwatesa sana
Umeandika nini julai bibi?una halaka sana braza ndio kwanz tupo kwnwyw lecaterigoziration ili tujue kama uliperform target na vision
Hahahahauna halaka sana braza ndio kwanz tupo kwnwyw lecaterigoziration ili tujue kama uliperform target na vision