Habari zenu watumishi wenzangu,
Naomba kufahamu tamko kutoka kwa vyama vya wafanyakazi kuhusu kwamba mwaka huu kuna annual increment au laa ili watu tujue hamsini zetu tunaziomba vipi, na mkataba wetu na serikali kuhusu annual increment umekaaje?
Pia soma: Mishahara haijapanda hata senti moja , nini maoni ya vyama wafanyakazi?
Naomba kufahamu tamko kutoka kwa vyama vya wafanyakazi kuhusu kwamba mwaka huu kuna annual increment au laa ili watu tujue hamsini zetu tunaziomba vipi, na mkataba wetu na serikali kuhusu annual increment umekaaje?
Pia soma: Mishahara haijapanda hata senti moja , nini maoni ya vyama wafanyakazi?