Ni maamuzi gani magumu umejipanga kuyafanya mwaka huu ili upige hatua katika maisha?

Ni maamuzi gani magumu umejipanga kuyafanya mwaka huu ili upige hatua katika maisha?

32c95b3a321c5221479c65a66dfc8202.png
 
Mimi kuna barua nataka kuwapa wale waliopanga kuchomoa battery tu.... Kama wapo wanyooshe vidole
 
Utaweza??...tena umemtangazia mzee baba
emoji48.png
kakusikia lazima akunyooshe, utalewa mpaka ulale mitaroni

Utaweza??...tena umemtangazia mzee baba [emoji48] kakusikia lazima akunyooshe, utalewa mpaka ulale mitaroni
Huyo mzee baba lucifa in illusions tuu. Nimegundua nilikuwa najiendekeza. Since November last year nimeendelea na kampani ile ile ya wagonga mvinyo lakini nimeweza mpka sasa despite vishawishi kama vyote. Ilikuwa daily lazima ninywe au nishtue hats home. You can imagine.
 
Back
Top Bottom