Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera.mi asubh nakula ugal mkubwa mpka jion nakua fullnijitahidi nile milo minne/4 mpk mitano/5 per day/24hrs.
hujipigi bomba mzee?😃😃Hongera.mi asubh nakula ugal mkubwa mpka jion nakua full
Hil.swala hakuna na kama sio ugal nikipiga tea lazima chapati nne au sita zitembezwe milo miwilhujipigi bomba mzee?😃😃
milo 4 mpk 5 ndio inshu... itanipa duru ya kupiga hatuaHil.swala hakuna na kama sio ugal nikipiga tea lazima chapati nne au sita zitembezwe milo miwil
Utaweza??...tena umemtangazia mzee baba [emoji48] kakusikia lazima akunyooshe, utalewa mpaka ulale mitaroniSinywi pombe mwaka mzima
Ki biologia ukila asubh ukishiba vizuri ndio chakula cheny nguvu Sana na kinachowez kukufanya kutwa nzima uwe good mchan na jion unatakiwa unakula kidogmilo 4 mpk 5 ndio inshu... itanipa duru ya kupiga hatua
Tuko pamoja.Sinywi pombe mwaka mzima
nijitahidi nile milo minne/4 mpk mitano/5 per day/24hrs.
Utaweza??...tena umemtangazia mzee baba [emoji48] kakusikia lazima akunyooshe, utalewa mpaka ulale mitaroni
Sipigi Nyeto mwaka mzima
Utaweza??...tena umemtangazia mzee babakakusikia lazima akunyooshe, utalewa mpaka ulale mitaroni![]()
Huyo mzee baba lucifa in illusions tuu. Nimegundua nilikuwa najiendekeza. Since November last year nimeendelea na kampani ile ile ya wagonga mvinyo lakini nimeweza mpka sasa despite vishawishi kama vyote. Ilikuwa daily lazima ninywe au nishtue hats home. You can imagine.Utaweza??...tena umemtangazia mzee baba [emoji48] kakusikia lazima akunyooshe, utalewa mpaka ulale mitaroni
Kabisa mkuu. Nahii kitu inawezekana kabisa japo wapo watakaojaribu kukukatisha tamaaTuko pamoja.
2. Kupunguza matumizi
3. Kuongeza miradi mitatu.