Ni maamuzi gani magumu umejipanga kuyafanya mwaka huu ili upige hatua katika maisha?

Ni maamuzi gani magumu umejipanga kuyafanya mwaka huu ili upige hatua katika maisha?

Kipato changu haba kwa mwaka naingiza milion 7,200,0000# ila mwaka huu nimepanga nikipandishe mpaka milion 9,600,000#

Mchanganuo wangu kwahiyo milioni 6,200,000# nikama ifuatavyo:

Matumizi ya lazima kwa mwaka:

Chakula milion 2,520,000#
Kodi ya nyumba laki 600,000#
Ada ya chalii wangu laki 600,000#
Kiwanja million 1,500,000#
Mavazi me nachalii yangu laki 300,000#
Jumla inakuwa milion 5,520,000#

7,200,000 - 5,520,000 = 1,680,000#

Kwahiyo hapo itabakia milion 1,680,000

Hiyo baki ndio itatumika kwenye vitu ambavyo sio vyalazima. Endapo kama Mungu akiniepusha namaradhi makubwa.

Na endapo kama nitafikia malengo yakuingiza milion 9,600,000# basi nitapiga hatua moja kwenda ingine. Mungu bariki kazi ya mikono yangu Mungu bariki kipato changu. Amina
 
Ki biologia ukila asubh ukishiba vizuri ndio chakula cheny nguvu Sana na kinachowez kukufanya kutwa nzima uwe good mchan na jion unatakiwa unakula kidog
okay, asubuhi kula kushiba then after that milo minne midogo midogo.
 
Nmeacha pombe na papuchi na yote yanayomchukiza Mungu nimehamia kweny mjani ndo starehe yangu Haina garama lengo nikuze kipato changu.
Na Kama Mungu akijalia ndani ya huu mwaka nakaoteshe mjengo wangu kibah.
Mungu ndio tegemezi langu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom