Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuacha biaMaamuzi gani magumu umeshawahi kufanya mpaka sasa huamini kama ni wewe ulifanya yale maamuzi?
Tiririka Mkuu.....
Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Paris nchini Ufaransa 🇫🇷
ukifika buza uniambieNote: Mjanja M1 kwasasa napatikana Paris nchini Ufaransa 🇫🇷
Mpaji mungu hilj jina lako tu inonkena umekataa kabisa kutegemea watu. We unadili na godi tuKujiweka mbali na ndugu, jamaa, marafiki na watu wasio na tija
Fafanua kidogo mkuuKuondoka bongo
Haya sio maamuzi magumu tuu pia ni uchawi ahahah jokes1. Nilioa at 21 years
2. Niliacha kaz ya mshahara wa over 2million just to start chasing my dream ambayo haikua inaniingizia hata mia.. nimesota sanaa sasa nio miaka mi 3 ndio kwa mbaaaali imeanza kuingiza around 1m kwa mwezi na Mungu akibariki nikatia juhudi lengo ni ku make 50mils a month after 5 years
Ilikuwa miaka ya 70 ndio niliondoka kuja kutafuta maisha mbali na continent letu na mpaka leo niko njeFafanua kidogo mkuu
Miaka ya 70 ulikuwa unafanya kazi?Ilikuwa miaka ya 70 ndio niliondoka kuja kutafuta maisha mbali na continent letu na mpaka leo niko nje
Ilikuwa ni kuanza maisha ya kujitegemea mbali na wazazi ila yalikuwa maamuzi magumu kwa mimi na mzee wangu
Ni muda mrefu umepita itakuwa ulishajipata.Ilikuwa miaka ya 70 ndio niliondoka kuja kutafuta maisha mbali na continent letu na mpaka leo niko nje
Ilikuwa ni kuanza maisha ya kujitegemea mbali na wazazi ila yalikuwa maamuzi magumu kwa mimi na mzee wangu
Hayo sio maamuzi magumu,hiyo ni baraka,tukomae tu na box mkuu,hakuna kurudi nyuma.Kuondoka bongo
Ndio bossMiaka ya 70 ulikuwa unafanya kazi?