Mdogo wangu alindondoka (kwa bahati mbaya) kwenye mti,ikaonekana ameumia bega, tukaenda hospital kubwa hapa mkoani,madaktari wakasema lazma wafanye x rays na leo tunatazamia afanyiwe,je kuna madhara gani kufanyiwa mionzi hii?
Hakuna madhara yoyote,Medical imaging za siku hizi zinatoa dose ya mionzi ambayo haina madhara kwenye mwili otherwise afanye mara nyingi kama ilivyo dawa tu tunazo meza yaani ukinywa kwa muda mrefu zitakuletea madhara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.