BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
- Thread starter
- #21
Kabisa dada yangu, suruali zangu nyingi zimepauka na ukizingatia miezi kadhaa tu zimepaukaMimi nilishawahi kutafuta hizo rangi. Nlikua na suruali yangu pendwa sana sema ikawa inapauka. Kuna nguo mtu unafall nayo inlove bwana hutaki hata kuiacha.