Ni maeneo gani hapa Dar hayana baa za kusisimua mwili ili nihamie?

Ni maeneo gani hapa Dar hayana baa za kusisimua mwili ili nihamie?

Kimara korogwe kama unatokea mjini usivuke barabara, daka bajaji sogea mbele kidogo ya daraja lile kubwa kuna magetto yapo bomba tu na utulivu wa kutosha. Pia njia ina muingiliano unaweza tokea riverside kupitia kule kule...
Mbali na j0b kk..
 
Nimekaa sana Tabata barakuda Takribani miaka mi 5 ivi Ila nimehama mwaka jana mwanzoni Nimehamia GONGO LA MBOTO ila kwasasa napaona Pachungu...

Chanz0 cha kuhama tabata ni kukimbia bar na malaya wanaojiuza, Nikaona bora nihamie sehemu iliyop00zap00za nikaambiwa gongo la mboto ni pazuri pametulia...

Kweli nikatafuta chumba nikaamia gongo la mboto mtaa ambao hauna bar kabisaa kwa mach0 yangu ya mchana..maeneo ya karibu na chuo cha KAMPALA..

Hapa gongo la mb0t0 Nimehamia siku ya ijumaa Mida ya saa 10 jioni,Nimehamia Fresh Nikapanga vitu vyangu vya get0 Vikaka sawa...

Mida ya saa 4 usiku nikiwa natafuta usingizi nakasikia sauti ya mziki Mkubwa unapigwa Niliup0tezea mana nilianza usikia tangu sa mbili ila kadiri muda unavyokwenda Zinapigwa ngoma ambazo nafsi yangu inapenda,Nikaona chakufia nini nikainuka Nikasema mpk nijue huu mziki unapigwa wapi...

Nikanyanyuka nikavaa KADETI yangu Pendwa(Bora Uibe TV kuliko hii kadeti yangu nakuroga)Nikabeba na elfu 30 Ili lolote likit0kea ntawezajimudu...

Mziki Niliendelea Ufatilia ulinisongesha moja kwa moja mpk kwenye Bar Kubwa Yenye bang0 TNT...

Nikasimama kando ya barabara kuangalia purukushani za palee,Nachek pembeni naona bar ingine imeandikwa LE0 TENA ila Haikuwa na vibe kiiv0 but Kuna wadada wengi wamevaa nusu Uchi Njee ya maeneo yale ya ile bar ya LEO TENA ni malaya wa kujiuza..

Nikaona ni vyema Kusavei kwanza yale maene0 Ya wale malaya nioshe mach0 Nikatembea tembea mpk Karibu na Gongo la mboto stend Nikawa na rudi mpk TNT nikafanya kutembea ivo kama Raundi mbili ivi,kiufupi Nimeona ingia toka ya washikaji na wale wadada Baadhi ya chochoro Nikajua fika wanaenda kulana..

Baada ya kuridhisha nafsi yangu kwakuangalia malaya kwa mara kadhaa..Nikaona sasa niingie kwenye Hii Bar yakuitwa TNT Nipate walau bia mbili nikalale...Nikach0ma ndani Nikaagiza Bia zangu mbili huku nikifurahisha mach0 Yangu kwa wat0t0 wazuri wazuri waliokaa pekee yao na bia za0 moja moja..

Nimeona pisi nyingi sana kaliii muda niliokaa,Wanakunywa bia moja masaa mawili...Nilikaa mpk saa 9 Na sikujua nimekaa kaaa vipi muda wote hu0 Na kilichonistua ni pesa kubaki Buku 2 Mfuk0ni,Nililewa kwa 28 elfu..

Nikarudi get0 Huku nikisema litakuwa chimb0 langu la kwenda kuangaza mach0 ila imekuwa tofauti,Nusu na Robo ya mshaara wangu namalizia maeneo yale,Ni p0mbe na malaya tu..

Ni muda sasa umepita Malaya wote pale wananijua Nimekuwa na tabia mbaya...nilichokikimbia tabata nimekikuta na huku gongo la mboto...Nikikosa pesa ya kwenda maeneo yale naumia sana, usiku unakuwa mzito kwangu,Nikipita Nawaona wenzangu wanavyopiga mafunda ya bia huku wakiwa na wale malaya Basi naona wivu..

Sometime sina hela huwa naenda kuchungulia tu ili nione Nafsi iridhike..
Nikiwa sina hela ya kununua bia Na wale malaya wa Mule ndani(Classic) Huwa naenda kwa wale wa njee wa buku 5 napiga kimoja walau ndi0 naweza Pata usingizi magetoni...

Nikiwaza kuhama ili kusave pesa yangu mwili unakataa nafsi inakubali...

Kodi yangu ikiisha natafuta mtaa ambao hauna bar sijui ntapata wapi maeneo haya ya dar..

#MSAADA...Ni maene0 gani hapa dar hayana bar za kusisimua mwili ili nihamie..??

Sina mke,Sina mt0t0,sina kiwanja..
Umri miaka 29 Nina kilo 92..

Uzi teyari...
Morogoro Road anzia Kimara mpak Kibamba hamna hayo madude , tabata kule chenga sana
 
. Tatizo ni wewe sio bar, mimi nakaa Tabata Bima hata hao malaya wanaojiuza sijawahi waona, why? Kazini alfajiri, narudi usiku kupumzika na kujiadaa kwa ajili ya kesho
Mie narudi kazini sa 8 mchana nakuta bar ndio zinapangwa viti..
 
Pole sana kaka , Watu wa humu wanaangalia pa kukosoa tu ila changamoto unaijua mwenyewe , sema nini tafuta pesa ukachukue ghetto ushuani full utulivu.
 
Pole sana kaka , Watu wa humu wanaangalia pa kukosoa tu ila changamoto unaijua mwenyewe , sema nini tafuta pesa ukachukue ghetto ushuani full utulivu.
Ushuani kama Wapi kaka...
 
Pole malaya mara nyng wakuaga addiction na wengine wana tumia uchawi ilikupata wateja plus kuwa na roho chafu, cha kufanya nenda kwny maombi ( njoo jumamos kuanzia saa 3 hospital bishop Edward karibu na Kwa kakobe pemben ya round ya about ya mliman city .
Other wise hata ukiamia mbali jiandae kuongeza pesa ya boda boda kuwafata walipo hata kama saa 8 za usiku
 
Nimecheka sana.
Bora ingekuwa unakunywa pombe tu. Kununua malaya hapo ni noma.
 
Nimekaa sana Tabata barakuda Takribani miaka mi 5 ivi Ila nimehama mwaka jana mwanzoni Nimehamia GONGO LA MBOTO ila kwasasa napaona Pachungu...

Chanz0 cha kuhama tabata ni kukimbia bar na malaya wanaojiuza, Nikaona bora nihamie sehemu iliyop00zap00za nikaambiwa gongo la mboto ni pazuri pametulia...

Kweli nikatafuta chumba nikaamia gongo la mboto mtaa ambao hauna bar kabisaa kwa mach0 yangu ya mchana..maeneo ya karibu na chuo cha KAMPALA..

Hapa gongo la mb0t0 Nimehamia siku ya ijumaa Mida ya saa 10 jioni,Nimehamia Fresh Nikapanga vitu vyangu vya get0 Vikaka sawa...

Mida ya saa 4 usiku nikiwa natafuta usingizi nakasikia sauti ya mziki Mkubwa unapigwa Niliup0tezea mana nilianza usikia tangu sa mbili ila kadiri muda unavyokwenda Zinapigwa ngoma ambazo nafsi yangu inapenda,Nikaona chakufia nini nikainuka Nikasema mpk nijue huu mziki unapigwa wapi...

Nikanyanyuka nikavaa KADETI yangu Pendwa(Bora Uibe TV kuliko hii kadeti yangu nakuroga)Nikabeba na elfu 30 Ili lolote likit0kea ntawezajimudu...

Mziki Niliendelea Ufatilia ulinisongesha moja kwa moja mpk kwenye Bar Kubwa Yenye bang0 TNT...

Nikasimama kando ya barabara kuangalia purukushani za palee,Nachek pembeni naona bar ingine imeandikwa LE0 TENA ila Haikuwa na vibe kiiv0 but Kuna wadada wengi wamevaa nusu Uchi Njee ya maeneo yale ya ile bar ya LEO TENA ni malaya wa kujiuza..

Nikaona ni vyema Kusavei kwanza yale maene0 Ya wale malaya nioshe mach0 Nikatembea tembea mpk Karibu na Gongo la mboto stend Nikawa na rudi mpk TNT nikafanya kutembea ivo kama Raundi mbili ivi,kiufupi Nimeona ingia toka ya washikaji na wale wadada Baadhi ya chochoro Nikajua fika wanaenda kulana..

Baada ya kuridhisha nafsi yangu kwakuangalia malaya kwa mara kadhaa..Nikaona sasa niingie kwenye Hii Bar yakuitwa TNT Nipate walau bia mbili nikalale...Nikach0ma ndani Nikaagiza Bia zangu mbili huku nikifurahisha mach0 Yangu kwa wat0t0 wazuri wazuri waliokaa pekee yao na bia za0 moja moja..

Nimeona pisi nyingi sana kaliii muda niliokaa,Wanakunywa bia moja masaa mawili...Nilikaa mpk saa 9 Na sikujua nimekaa kaaa vipi muda wote hu0 Na kilichonistua ni pesa kubaki Buku 2 Mfuk0ni,Nililewa kwa 28 elfu..

Nikarudi get0 Huku nikisema litakuwa chimb0 langu la kwenda kuangaza mach0 ila imekuwa tofauti,Nusu na Robo ya mshaara wangu namalizia maeneo yale,Ni p0mbe na malaya tu..

Ni muda sasa umepita Malaya wote pale wananijua Nimekuwa na tabia mbaya...nilichokikimbia tabata nimekikuta na huku gongo la mboto...Nikikosa pesa ya kwenda maeneo yale naumia sana, usiku unakuwa mzito kwangu,Nikipita Nawaona wenzangu wanavyopiga mafunda ya bia huku wakiwa na wale malaya Basi naona wivu..

Sometime sina hela huwa naenda kuchungulia tu ili nione Nafsi iridhike..
Nikiwa sina hela ya kununua bia Na wale malaya wa Mule ndani(Classic) Huwa naenda kwa wale wa njee wa buku 5 napiga kimoja walau ndi0 naweza Pata usingizi magetoni...

Nikiwaza kuhama ili kusave pesa yangu mwili unakataa nafsi inakubali...

Kodi yangu ikiisha natafuta mtaa ambao hauna bar sijui ntapata wapi maeneo haya ya dar..

#MSAADA...Ni maene0 gani hapa dar hayana bar za kusisimua mwili ili nihamie..??

Sina mke,Sina mt0t0,sina kiwanja..
Umri miaka 29 Nina kilo 92..

Uzi teyari...
Nenda mpiji magohe alafu umalaya sio sifa

Reply tayari.
 
Mitaa yote usiyopanda gari moja kufika mjini ipo salama haina malaya na bar. Malaya na bar ufuata highway
 
Back
Top Bottom