Ni maeneo gani hapa Dar hayana baa za kusisimua mwili ili nihamie?

Kimara korogwe kama unatokea mjini usivuke barabara, daka bajaji sogea mbele kidogo ya daraja lile kubwa kuna magetto yapo bomba tu na utulivu wa kutosha. Pia njia ina muingiliano unaweza tokea riverside kupitia kule kule...
Mbali na j0b kk..
 
Morogoro Road anzia Kimara mpak Kibamba hamna hayo madude , tabata kule chenga sana
 
. Tatizo ni wewe sio bar, mimi nakaa Tabata Bima hata hao malaya wanaojiuza sijawahi waona, why? Kazini alfajiri, narudi usiku kupumzika na kujiadaa kwa ajili ya kesho
Mie narudi kazini sa 8 mchana nakuta bar ndio zinapangwa viti..
 
Pole sana kaka , Watu wa humu wanaangalia pa kukosoa tu ila changamoto unaijua mwenyewe , sema nini tafuta pesa ukachukue ghetto ushuani full utulivu.
 
Pole sana kaka , Watu wa humu wanaangalia pa kukosoa tu ila changamoto unaijua mwenyewe , sema nini tafuta pesa ukachukue ghetto ushuani full utulivu.
Ushuani kama Wapi kaka...
 
Pole malaya mara nyng wakuaga addiction na wengine wana tumia uchawi ilikupata wateja plus kuwa na roho chafu, cha kufanya nenda kwny maombi ( njoo jumamos kuanzia saa 3 hospital bishop Edward karibu na Kwa kakobe pemben ya round ya about ya mliman city .
Other wise hata ukiamia mbali jiandae kuongeza pesa ya boda boda kuwafata walipo hata kama saa 8 za usiku
 
Nimecheka sana.
Bora ingekuwa unakunywa pombe tu. Kununua malaya hapo ni noma.
 
Nenda mpiji magohe alafu umalaya sio sifa

Reply tayari.
 
Mitaa yote usiyopanda gari moja kufika mjini ipo salama haina malaya na bar. Malaya na bar ufuata highway
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…