The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Habar wakuu,
Tafadhar naomba kufahamishwa kuwa ni maeneo gan mazur kwa Ujenz kwa mtu mwenye kipato cha kati na aina ya tofar zinazotumika katika ujenz na wakaz wa mji huo.
Maeneo mazur kwa kigezo cha huduma za jamii,Umem,maj na barabar na muingilian wa watu.
Tafadhar naomba kufahamishwa kuwa ni maeneo gan mazur kwa Ujenz kwa mtu mwenye kipato cha kati na aina ya tofar zinazotumika katika ujenz na wakaz wa mji huo.
Maeneo mazur kwa kigezo cha huduma za jamii,Umem,maj na barabar na muingilian wa watu.