Ni mafuta gani mazuri ya kichwani kwa wanaume?

Ni mafuta gani mazuri ya kichwani kwa wanaume?

makuna202

Senior Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
115
Reaction score
20
Habarini wana JF
Naombeni mnijuze ni mafuta yapi mazuri kwa mwanaume mwenye nywele fupi tu za wastani. Yapi yanapendezesha nywele na kuzifanya ziwe nadhifu na za kuvutia?
 
cc410c629b890bbead44d2f511ec827d.jpg


Active ingredients ni
1. Coconut
2. Olive
3. Aloe
4. Lanolin
5. Beeswax
6. Menthol
7.Vitamin E
Kwa Tsh 5000 kopo la 125m

Call 0714547830...napatikana dar, delivery ipo kuanzia kopo mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia black velvet au MPL ya maji ni mazuri kati ya hayo ukipata yapo poa Kkoo maduka ya vipodozi yapo mengi tuu...
 
Vatika (coconut enriched hair oil) siyo mabaya.
 
Back
Top Bottom