Ni mafuta gani mazuri yanafaa kwa ngozi kavu?

Ni mafuta gani mazuri yanafaa kwa ngozi kavu?

RTI

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2018
Posts
2,423
Reaction score
7,155
Ni mafuta gani yanayo faa kwa mtu nwenye ngozi isiyo kuwa na mafuta yaani ngozi kavu?
 
Tumia mafuta ya nazi mnara, ni mafuta bora sana ya kitanzania chupa elfu2 tuu
Shukurani mkuu alafu nilisahau kuweka jinsia yangu mm ni wakiume bado yatakuwa yananifaa?
 
Body flux

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Moisturizer yeyote will do,,Nazi Ni natural mosturizer.
 
Back
Top Bottom