Ni mafuta kiasi gani yanakuwa yamebakia pale fuel bar inapoanza kublink kwenye gari yako?

Ni mafuta kiasi gani yanakuwa yamebakia pale fuel bar inapoanza kublink kwenye gari yako?

mimi huwa naongeza mafuta ila taa haizimi wakati mwingine
 
Kwa wenye brevis kila kitu kinajieleza kwenye screen, unatakiwa kuijua gari yako vizuri.
 
Back
Top Bottom